Sondag, Maart 04, 2018

MMILIKI WA CHUO CHA UANDISHI WA HABARI ATOA OFA KWA WATAKAO WAHI KUFIKA CHUONI HAPO


OFA KWAAJILI YAKO WEWE KIJANA ULIYE HIMU ELIMU YA KIDATO CHA NNE NA KUENDELEA KWA BEI POA.....

TANGAZO

Chuo cha uandishi wa habari na utangazaji Eckros school of journalism

kinakutangazia nafasi za masomo kwa mwaka 2018-2019 kwa kozi

zifuatazo kwa ngazi ya cheti.
.Uandishi wa habari na utangazaji
.Uongozaji wa hotel za kimataifa
.Ualimu wa awali
.Mafunzo ya udereva
.Mafunzo ya kompyuta program zote
.Mafunzo ya u DJ
.Uzalishaji wa video
.Uhadhiri
.Mafunzo ya kiingeleza
.Ungojazi rasilimali
.Utunzaji wa kumbukumbu
.Mafunzo ya muziki
.Uzalishaji wa muziki

SIFA ZA WAOMBAJI
.Wahitimu wote wa darasa la saba,kidato cha nne na kidato cha sita na

kuendelea.

Chuo kinapatikana Njombe mjini ndani ya uwanja wa sabasaba,pia

tunatoa huduma za hostel kwa wanao hitaji.

Kwa mawasiliano zaidi tupigie kupitia namba   0762795251 au  0753121916
wahi sasa nafasi ni chache.

http://chrispinkalinga.blogspot.com

Chrispiny kalinga blog

Geen opmerkings nie:

Plaas 'n opmerking