Dinsdag, Maart 20, 2018

NAIBU KATIBU MKUU CCM BARA AFANYA ZIARA WILAYANI LUDEWA,

Kushoto ni Naibu katibu mkuu wa UWT CCM Bara akizungumza jambo na DC,Ludewa Mh,Andrea Tsere Kulia
Kushoto ni Katibu wa Hamasa na Chipukizi UV,CCM Mkoa wa Njombe,Bw Johnson Mgimba akiteta jambo na DC, Ludewa Mh, Andrea Tsere Aliyevaa suti Kulia,
Naibu Katibu Mkuu UWT CCM Bara akikagua Kuku katika Banda la kikundi cha Tumaini Jema
Wanakikundi Cha Tumaini Jema wakimkabidhi Zawadi Naibu katibu mkuu wa UWT Taifa Bi,Evah Kihwele
Naibu katibu Mkuu bara UWT CCM Taifa Bi,Eva Kihwele Akipokea taarifa kwa wanakikundi cha Lukolo Ludewa mjini,
Katibu wa Organization CCM Taifa UWT Bi,Riziki Kingwande, Akizungumza na wanawake wa Ludewa Mjini 
Naibu Katibu mkuu UWT, CCM Taifa akizungumza na wanawake katika Ukumbi wa ccm Ludewa mjini Leo,
Burudani za ngoma mbalimbali zikiendelea nje ya Ukumbi wa CCM Ludewa mjini katika Mkoa wa Njombe,


mubashara blog +255753121916

Geen opmerkings nie:

Plaas 'n opmerking