Msanii wa Bongo fleva Aslay amesema hajaridhika na mafanikio ambayo ameyapata kupitia mziki wake anaoufanya mpaka atakapo pata tuzo ya heshima hapa Bongo.
Upande wa Jamhuri katika kesi inayomkabili msanii wa filamu nchini, Wema Sepetu na wenzake jana ulidai mahakamani kuwa umefunga ushahidi dhidi ya mashtaka kutumia na kukutwa na dawa za kulevya aina ya bangi kwa msanii huyo.
Waziri wa Fedha na Mipango, Dk Philip Mpango amesema hadi Desemba 2017, deni la Taifa lilikuwa limefikia Sh47.756 trilioni na tathmini zinaonyesha bado ni himilivu.
MFANYABISHARA Timotheo Wandiba amehukumiwa kifungo cha miaka 81 jela baada ya kupatikana na hatia katika mashtaka 27 yaliyokuwa yakimkabili ya kujipatia Sh.bilioni 2.1 kwa njia udanganyifu.
Haki miliki ya pichaGETTY IMAGESImage captionShkodran Mustafi alifunga bao lake la tatu msimu huu, lakini lake la kwanza katika mechi 15
Meneja wa Arsenal Arsene Wenger amesema ilikuwa ni lazima kwa timu yake "kurejesha uungwaji mkono wa mashabiki tena" baada ya kufikisha kikombo mkimbio wa kushindwa mara tatu Ligi ya Premia kwa ushindi wa kuridhisha dhidi ya Watford.
Mkuu wa Wilaya ya Mbozi Mkoani Songwe John Palingo amemuweka ndani Diwani wa Kata ya Vwawa kupitia tikeki ya Chama cha NCCR Mageuzi Saul Mwakatundu na Mtendaji wa
Image captionAliyekuwa kocha wa Souampton Mauricio Pelegrini
Aliyekuwa mkufunzi wa Watford Marco Silva ni miongoni mwa wakufunzi wanaopigiwa upatu kuchukua kazi ya kuikochi Southampton kufuatia hatua ya klabu hiyo kumfuta kazi kazi kocha wake Mauricio Pellegrino siku ya Jumatatu.. (Mail)
Wakati huohuo, Silva anatarajiwa kurudi nyumbani kwao Portugal ambapo anakaribia kuafikia makubaliano ya kuwa kocha mpya wa Benfica. (Times - subscription required)
Image captionMshambuliaji wa Tottenham Harry Kane
Mshambuliaji wa Tottenham Harry Kane amehusishwa na uhamisho wa Real Madrid lakini mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 24 amesema kuwa atasalia kuichezea Tottenham kwa kuwa anasubiri kufunga mabao zaidi katika uwanja mpya wa timu hiyo. (Telegraph)
Mkufunzi wa klabu ya Manchester United Jose Mourinho ameiambia Real Madrid kufikiria kuhusu mchezaji mwengine katika usakaji wa kipa kwa kuwa anaamini David de Gea, 27, atasalia katika klabu hiyo. (Express)
Image captionMatumaini ya Liverpool na Manchester United kumsajili beki wa Lazio Stefan de Vrij, 26, kulia huenda yakaendelea
Matumaini ya Liverpool na Manchester United kumsajili beki wa Lazio Stefan de Vrij, 26, huenda yakaendelea baada ya Inter Milan kushindwa kuthibitisha kwamba watakuwa wakimsajili beki wa Uholanzi ambaye kandarasi yake inakamilika mwisho wa msimu huu. (star)
Juventus ina wasiwasi huenda ikamkosa kiungo wa kati wa Liverpool Emre Can, ambaye kandarasi yake inakamilika mwisho wa msimu huu huku Bayern Munich na Real Madrid zikiwa na hamu ya kumsajili mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 24 raia wa Ujerumani. (Express)
Chelsea inamnyatia kipa wa AC Milan Gianluigi Donnarumma, 19, iwapo kipa wa Ubelgiji Thibaut Courtois, 25, ataondoka Stamford Bridge. (Corriere dello Sport, via Talksport)
Image captionChelsea inamnyatia kipa wa AC Milan Gianluigi Donnarumma, 19, iwapo kipa wa Ubelgiji Thibaut Courtois, 25
Newcastle itajaribu kumsajili winga wa Chelsea aliyepo katika klabu hiyo kwa mkopo kwa mkataba wa kudumu lakini italazimika kulipa hadi £15m kumnunua mchezaji huyo wa Brazil ,mwenye umri wa miaka 22. (Mirror)
Newcastle, Leicester na Southampton wanamtaka winga wa Burnley mwenye umri wa miaka 27 Johann Berg Gudmundsson. (Sun)
Image captionBarcelona imekuwa ikimnyatia kwa miezi kadhaa sasa mshambuliaji wa Ufaransa Antoine Griezmann, 26,
Barcelona imekuwa ikimnyatia kwa miezi kadhaa sasa mshambuliaji wa Ufaransa Antoine Griezmann, 26, baada ya mchezaji huyo kutokubaliana na Atletico Madrid kuhusu kuongezewa kandarasi yake. (Le10sport.com - in French)
Mkufunzi wa West Brom Alan Pardew atasalia katika klabu hiyo licha ya kuwa na mpango wa kumsajili kocha mpya mwisho wa msimu huu (Mirror)
Image captionArsenal inamchunguza mkufunzi wa Juventus Massimiliano Allegri baada ya kufurahishwa na hatua ya kuibandua Tottenham katika kombe la vilabu bingwa . (star)
Arsenal inamchunguza mkufunzi wa Juventus Massimiliano Allegri baada ya kufurahishwa na hatua ya kuibandua Tottenham katika kombe la vilabu bingwa . (star)
Mshambuliaji wa zamani wa Arsenal Paul Merson anaamini kwamba mkufunzi wa Celtic Brendan Rodgers anafaa kumrithi Arsene Wenger kuwa mkufunzi wa Gunners . (Sky Sports, via Express)
Image captionHector Bellerin kulia wa klabu ya Arsenal
Arsenal iko tayari kumuuza Hector Bellerin ili kusaidia kujijenga upya , lakini wanataka £50m kwa mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 22. Klabu ya Juventus imeonyesha hamu ya kumsajili mchezaji huyo wa Uhispania.
Philippe Coutinho anasema kuwa angependelea mshambuliaji wa Brazil mwenye umri wa miaka 26 Neymar kurudi Barcelona . Neymar alijiunga na PSG kutoka Barca kwa dau lililovunja rekodi la £198m mwisho wa msimu uliopita kabla ya mchezaji mwenza wa Brazil Coutinho, 25, kuelekea Nou Camp kutoka Liverpool mnamo mwezi Januari. (Mail)
Image captionPhilippe Coutinho anasema kuwa angependelea mshambuliaji wa Brazil mwenye umri wa miaka 26 Neymar kurudi Barcelona
Mkufunzi wa Napoli Maurizio Sarri ameomba msamaha kwa matamshi ya ubaguzi wa kijinsia aliyotoa kwa mwanahabari mmoja wa kike baada ya mechi ya ligi ya seria A siku ya Jumapili.. (Mail)
Haki miliki ya pichaAFPImage captionMzee akisoma gazeti
Sheria mpya ya vyombo vya habari nchini Tanzania ambayo ilipitishwa na rais wa nchi hiyo mnamo Novemba 2016, imeanza kusikilizwa rasmi leo katika mahakama ya Afrika Mashariki huko, Arusha, Kaskazini mwa Tanzania.
Watendaji wa Taasisi za Umma nchini zikiwemo Serikali Kuu na Mamlaka za Serikali za Mitaa na Tawala na Mikoa zimetakiwa kuweka kipaumbele katika kuwapatia vifaa vya kisasa Maafisa Habari, Mawasiliano na Uhusiano ili kuharakisha na kurahisisha mfumo wa utoaji wa habari na taarifa katika Taasisi zao.
Hayo yamesemwa Jijini Arusha na Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Dkt. Harrison Mwakyembe wakati wa ufunguzi wa mkutano wa 14 wa kikao kazi cha Maafisa Mawasiliano Serikalini, kilichoanza tarehe 12-16 Machi, 2018.
March 12, 2018Baraza la Vijana la Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Bavicha) limezungumzia kuhusu ishu ya kujiuzulu kwa Naibu Katibu Mkuu wake,Gertrude Ndibalema.