Dinsdag, April 17, 2018

Majaji 250 'feki' wafutwa kazi DRC

Rais ndiye anayewaandika na kuwafuta maafisa katika idara hiyo mahakama nchini.

Na Chrispiny Kalinga 

Serikali ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, imewafukuza zaidi ya mahakimu 250 ambao waliajiriwa kwa kutumia vyeti feki na wengine waliotuhumiwa kupokea hongo.

Diamond ahojiwa na Polisi kuhusu picha za mitandaon

Diamond PlatnumzHaki miliki ya pichaDIAMOND
Image captionDiamond Platnumz
Mwanamziki maarufu wa Bongo fleva Nasibu Abdul Juma maarufu Diamond Platnumz amekuwa akihojiwa na Polisi kuhusu video iliyosambaa kwenye kurasa mbalimbali za mitandao ya kijamii ikimuonyesha akiwa kitandani akicheza na mzazi mwenzake Hamisa Mobetto pia na mwanamke mwingine ambaye hajajulikana,picha zinazoelezwa kuwa hazina maadili.

Shilole afunguka kuhusu video ya Nandy

 Msanii wa muziki wa kizazi kipya Shilole amefunguka kuhusu tuhuma za kuvujisha video ya utupu ya Nandy na Bill Nas, na kusema kwamba ahusiki na hajawahi kuona picha yoyote ya wawili hao wakiwa faragha.

MIKOCHENI KUMEHARIBIKA

 MVUA zinazoendelea kunyesha katika jiji la Dar es salaam zimeendelea kuleta madhara katika maeneo ya Mikocheni barabara ya Chato mtaa wa Lukuledi  baada ya barabara hiyo kukatika na kujaa maji.

Prince Wiliam kuipa Tanzania ulinzi....Ahadi Hiyo Ameitoa Baada ya Kukutana na Makamu wa Rais Jijini London

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan leo amekutana na kufanya mazungumzo na Prince William katika jumba la Kifalme la Buckingham Palace.

Waziri Mkuchika Ammwagia Sifa Zito Kabwe...."Wewe ni Kijana Msomi, Endelea Na Uzando Huohuo"

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Utumishi wa Umma na Utawala Bora, George Mkuchika amefunguka na kumpongeza Mbunge wa Kigoma Mjini kwa tiketi ya ACT Wazalendo Mhe. Zitto Kabwe kwa kuendelea kumpigania diwani wa CCM Simon Kanguye ambaye amepotea kwa kutekwa toka mwaka jana. 

Serikali kuhamia Dodoma kwaongeza bajeti ofisi ya makamu wa rais

Kamati ya Bunge ya Katiba na Sheria imesema katika bajeti ya Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) mwaka 2017/18 kuna ongezeko la fedha lililotokana na gharama za kuhamisha watumishi wa ofisi hiyo kutoka Dar es Salaam kwenda Dodoma, kwamba ongezeko hilo ni zaidi ya fedha zilizoidhinishwa na Bunge.

Serikali Yaeleza Utekelezaji Hoja Za CAG Sekta Za Afya Na Elimu

Serikali imesisitiza kuwa hakuna hoja ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) katika sekta zote na hususani sekta za Afya na Elimu ambayo haitatekelezwa ili kuhakikisha azma ya Serikali ya Awamu ya Tano chini ya Dkt. John Pombe Magufuli, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania inafikiwa ipasavyo.

Ndalichako Aijibu Ripoti ya CAG

Waziri wa Elimu na mafunzo ya Ufundi, Joyce Ndalichako, amesema anaitumia ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi wa Hesabu za Serikali kama changamoto na chachu ya kuendelea kufanya kazi nzuri.

Saterdag, April 14, 2018

VIJANA WA CHADEMA WAAMIA CCM KWA KUKOSA MATUNZO CHADEMA






NJOMBE

 Na Chrispin kalinga

Wanachuo wilayani njombe katika mkoa wa njombe wameamua kuamia ndani ya chama cha mapinduzi  mkoani kutoka katika chama cha chadema.

Woensdag, April 11, 2018

Liverpool yatinga nusu Fainali

SportsHaki miliki ya pichaGETTY IMAGES
Image captionFuraha ya ushindi ya wana Liverpool
Liverpool imefika katika nusu fainali yao ya kwanza ya Ligi ya Mabingwa kwa miaka 10 baada ya kujikokota na kuishinda Manchester City kwa kupata ushindi wa mabao 2-1 yaliyoleta ushindi wa jumla wa Liverpool 5-1 Man City.

36 wahukumiwa kifo Misri kwa kushambulia makanisa ya Coptic

coptic church trial
Image captionWatuhumiwa thelathini na sita wahukumiwa adhabu ya kifo nchini Misri
Mahakama ya kijeshi huko Misri imewahukumu watu thelathini na sita adhabu ya kifo kutokana na makosa ya mashambulizi dhidi ya makanisa ya Coptic.

Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Jumatano ya April 11