Maandag, Mei 14, 2018

Mwigulu atoa agizo hili kwa Jeshi la Polisi


Waziri wa Mambo ya Ndani, Dk Mwigulu Nchemba ameagiza jeshi la Polisi nchini kuruhusu taasisi za dini kufanya mikutano yao pindi watakapoomba kibali.

Magufuli afanya uteuzi mpya



Rais wa Jamnhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. John Pombe Magufuli amemteua Prof. Siza Donald Tumbo kuwa mwenyekiti wa Bodi ya Utawala ya Chuo cha Ufundi Arusha (Arusha Technical College).

Tanzania yaanza maandalizi ya kuridhia mkataba wa silaha za Baolojia na sumu

Serikali imesema ipo haja ya kuridhia mkataba wa kupambana na silaha za baolojia na sumu ili kuweza kutoa fursa kwa wataalamu mbalimbali nchini katika kuwajengea uwezo wa kukabiliana na athari za mashambulizi ya silaha za sumu na kibaoloji.

LULU ATOKA GEREZANI SASA YUPO NJE...SOMA ZAIDI UJUE KILICHO MTOA




Mkuu wa Magereza ya Mkoa wa Dar es salaam, ACP Augustino Mboje amesema muigizaji wa filamu nchini Elizabeth Michael maarufu kama Lulu anaweza kurudi gerezani endapo ataonesha mwenendo usioridhisha wakati ambao atakua chini ya uangalizi.

Sondag, Mei 13, 2018

Tanzania yatinga nusu fainali Kombe la Dunia


Timu ya wasichana walio kwenye mazingira magumu ya Tanzania, imetinga hatua ya nusu fainali ya fainali za Kombe la Dunia kwa watoto waishio kwenye mazingira magumu nchini Urusi baada ya kuifunga Marekani kwa mabao 5-0.

Makanisa yavamiwa na kulipuliwa kwa mabomu


Watu waliojitoa mhanga wamevamia makanisa matatu nchini Indonsia na kuyalipua kwa mabomu, Milipuko hiyo imetokea katika mji wa pili kwa ukubwa nchini humo wa Surabaya na kusababisha vifo vya watu 9, huku idadi hiyo ikitazamiwa kuongezeka.

Wizara Ya Afya Yamwaga Ajira 8,000 Sekta Ya Afya Nchini

Serikali kupitia Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto imepata kibali cha Ajira kwa sekta ya afya nchini cha kuwaajiri wataalam wa kada mbalimbali za Afya wapatao 8,000.

Mamlaka ya Hali ya Hewa nchini, (TMA) Yatoa Tahadhari ya Mvua Kubwa

Mamlaka ya Hali ya Hewa nchini, (TMA) imetoa tahadhari kwa wakazi wa maeneo ya Ukanda wa Pwani kwani mvua kubwa zinatarajiwa kunyesha kuanzia leo.

Zari: Nilimpenda Sana Diamond Ila Alizidisha Dharau Nikaamua Kumtema

Aliyekuwa Baby Mama wa Diamond Platnumz, Zari The Boss Lady amesema alimpenda sana muimbaji huyo na kila mtu alifahamu hilo ila dharau zilizidi, ndipo akaamua kuvunja mahusiano yao.

Aliyetaka Kumuhonga Zari Range Rova Apigwa Kibuti

Zari The Boss Lady amesema hamfahamu Ringtone Apoko ambaye ni msanii wa muziki wa Injili kutoka nchini Kenya aliyetangaza kumnunulia mrembo huyo gari aina ya Range Rover Sport ya mwaka 2017.

ASKOFU WA ROMANI KATHORIKI NJOMBE ANENA MAZITO

Image result for bishop alfred maluma

Njombe

Na chrispin kalinga.

Kanisa la Romani Kathoriki Wilayani Njombe Mkoani Njombe leo katika ibada ya Misa ya pili  iliyo ongozwa na Askofu wa kanisa hilo baba Askofu ALFRED MALUMA ambayo ililenga haswa kuazimisha siku ya sikukukuu ya kupaa kwa Bwana Yesu Kristo ambapo amefundisha mambo mengi haswa kuwa heshimu wakina mama.

Waziri wa Afya: Upimaji UKIMWI baa sio lazima

Waziri  wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Ummy Mwalimu amesema upimaji wa Kifua Kikuu (TB) na Ukimwi kwenye baa hautakuwa wa lazima.

Magazete ya Leo ya 13