Woensdag, Mei 16, 2018

Kenyatta Atia saini sheria ya makosa ya mtandaoni Ambapo Faini yake ni Milioni 100 Ukikutwa na Hatia

Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta ametia saini mswada wa Sheria ya Uhalifu wa Kompyuta na Mtandaoni ya mwaka 2018 kuwa Sheria, hatua hii itatoa adhabu kali kwa watakaopatikana na makossa ya mtandaoni.

Kondakta Atiwa mbaroni kwa kukutwa na vipodozi vilivyopigwa marufuku

Jeshi la Polisi Mkoa wa Morogoro linamshikilia  kondakta wa kampuni  moja ya mabasi yanayofanya safari kati ya Dar es Salaam na Mbeya,baada ya kumkuta na vipodozi vilivyopigwa marufuku.

Maandag, Mei 14, 2018

Watu wanne wafikishwa Mahakamani kwa mauaji ya Mchungaji

Image result for magereza
Leo May 14, 2018 Kesi ya mauaji inayowakabili watu wanne akiwemo Afisa Mwandamizi wa Kanisa la International Evangalism Church (IEC), Obadiah Nanyaro(60)imeahirishwa  katika mahakama ya hakimu mkazi Arusha baada upelelezi kutokamilika.

Uingereza: "Hutana mpango wa kuhamisha ubalozi wetu uliopo Tel Aviv"


Msemaji wa waziri mkuu wa Uingereza afahamisha kuwa serikali ya waziri mkuu Theresa May haina mpango wa kuhamisha ubalozi wake uliopo mjini Tel Aviv kutoka mjini Yerusalemu.

Yanga SC Yaingiliwa na Azam FC kwenye usajili


BAADA ya Yanga kuiandikia barua Lipuli FC ya kumhitaji straika wa timu hiyo, Adam Salamba, imeelezwa kuwa, Azam nayo imetuma maombi ya kuitaka saini ya mchezaji huyo kwa ajili ya kumtumia msimu ujao.

Yanga imebakiza nafasi moja kufuta machungu


Michuano ya Kombe la Kagame iliyopangwa kupigwa mwezi ujao Jijini Dar es Salaam huenda ikawa zali kwa Yanga ambayo kama ikicheza karata zake vizuri inaweza kufuta machungu ya msimu mzima wa Ligi Kuu Tanzania Bara.

Simba wapokelewa kwa Shangwe Bungeni


KLABU ya Simba ambao ni Mabingwa wapya wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara (VPL) mwaka 2017/18, leo Jumatatu, Mei 14, 2018 wametinga Bungeni jijini Dodoma baada ya kupata mwaliko wa Spika Job Ndugai.

Waziri Ummy atoa Ufafanuzi kuhusu Upimaji wa UKIMWI bar kwa bar


Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto, Ummy Mwalimu amesema utaratibu wa upimaji wa kifua kikuu na UKIMWI bar kwa bar sio wa lazima, ila watatumia ushawishi kuhakikisha wananchi wanapima na kujua afya zao.

Wema Sepetu aeleza sababu za kushindwa kufika kwenye uzinduzi wa filamu ya Aunt Ezekiel

Msanii Kiwango wa filamu Bongo, Wema Sepetu ameeleza sababu ya kushindwa kuhudhuria kwenye uzinduzi wa filamu fupi ya dakika 20 ‘MAMA’ ya Aunt Ezekiel iliyofanyika usiku wa jana (Jumapili) Mlimani City jijini Dar es Salaam.

Mwigulu atoa agizo hili kwa Jeshi la Polisi


Waziri wa Mambo ya Ndani, Dk Mwigulu Nchemba ameagiza jeshi la Polisi nchini kuruhusu taasisi za dini kufanya mikutano yao pindi watakapoomba kibali.

Magufuli afanya uteuzi mpya



Rais wa Jamnhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. John Pombe Magufuli amemteua Prof. Siza Donald Tumbo kuwa mwenyekiti wa Bodi ya Utawala ya Chuo cha Ufundi Arusha (Arusha Technical College).

Tanzania yaanza maandalizi ya kuridhia mkataba wa silaha za Baolojia na sumu

Serikali imesema ipo haja ya kuridhia mkataba wa kupambana na silaha za baolojia na sumu ili kuweza kutoa fursa kwa wataalamu mbalimbali nchini katika kuwajengea uwezo wa kukabiliana na athari za mashambulizi ya silaha za sumu na kibaoloji.

LULU ATOKA GEREZANI SASA YUPO NJE...SOMA ZAIDI UJUE KILICHO MTOA




Mkuu wa Magereza ya Mkoa wa Dar es salaam, ACP Augustino Mboje amesema muigizaji wa filamu nchini Elizabeth Michael maarufu kama Lulu anaweza kurudi gerezani endapo ataonesha mwenendo usioridhisha wakati ambao atakua chini ya uangalizi.