Maandag, Mei 28, 2018

Mkunga –nyota : Mti Wenye Msaada Mkubwa Kwa Wanawake Wenye Tatizo La Kutobeba Ujauzito.


Na. Dokta   Mungwa  Kabili…..0744   000  473.
Jina  halisi  la  mti  huu  ni  MKUNGA-NYOTA  na  sio MGUNGA –NYOTA  kama  baadhi  ya  watu  wanavyo uita  kimakosa.

Rais Na Mwenyekiti Wa CCM Dr Magufuli Aongonza Mkutano Wa Halmashauri Kuu Ya Taifa (NEC) Ya CCM Jijini Dar Es Salaam Leo

Rais wa  Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa CCM Dkt. John Pombe Magufuli  akiwa meza kuu katika

Kagera: Mke Amuua Mume Wake Kisa Wivu wa Mapenzi

Victoria Salvatory (58), mkazi wa kata ya Katoma, Kagera anashikiliwa na polisi kwa tuhuma za kumuua mumewe, Salvatory Iteganira (62) kwa kile kinachodaiwa ni wivu wa kimapenzi.

Donderdag, Mei 24, 2018

MTOTO AFARIKI KATIKA MAZINGIRA YA KUTATANISHA LUDEWA, WANANCHI WAZUNGUMZIA



Na Maiko Luoga Ludewa
Mtoto Anaekadiliwa Kuwa na Umri wa Miaka Miwili Mwenye Jinsi ya Kiume Amekutwa Akiwa amefariki kando ya Mto Mhangachi Katika Uwanja wa Mpira wa Shule ya Sekondari Chief Kidulile Wilayani Ludewa katika Mkoa wa Njombe.

Jaji Mkuu Awataka Viongozi na Watendaji wa Mahakama Kutenda Haki

Na Beatrice Lyimo- MAELEZO, DODOMA

Jaji Mkuu wa Tanzania, Profesa Ibrahim Juma amewataka viongozi mbalimbali wa mahakama ikiwemo Naibu Wasajili, Mahakimu, Watendaji, Wakuu wa Idara na Vitengo kutenda haki kwa watumishi walio chini yao.

Woensdag, Mei 23, 2018

Kesi Ya Babu Tale Yaahirishwa, Arudishwa Mahabusu


Mkurugenzi wa Kampuni ya Tip Top Connection ya jijini Dar es Salaam, Hamis Taletale maarufu Babu Tale, leo Mei 23, 2018 saa 6 mchana amefikishwa Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam kusikiliza kesi inayomkabili, akiwa chini ya ulinzi wa polisi.

Dinsdag, Mei 22, 2018

zijue njia sahihi za uzazi wa mpango


Pilule contraceptive.jpg

kutana na profesa mwakalinga hapa.



Kufikia miaka ya 1930wanasayansi walikuwa wametenga na kutambua mfumo wa homoni za steroidi na kupata kuwa vipimo vya juu

ZIJUE SIKU HATARI ZA KUPATA MIMBA

Image result for mzunguko wa hedhi

N akama hujaelewa nipigie simu kwa 0753121916 ili nikueleweshe.

Muhimu kwanza ni kujua mke wako (au mwanamke wako sijui mkuu) ana mzunguko wa siku ngapi.

Israel yatumia ndege hatari zaidi ya kivita duniani

 Israel imesema kwamba imetumia ndege za kivita zenye uwezo wa kukwepa mitambo ya rada ambazo zimetengenezewa Marekani kwa mara ya kwanza katika vita.

Kamanda aliyewaonya wanaume afunguka haya


Aliyekuwa Kamanda wa Polisi Mjini Magharibi Visiwani Zanzibar, Hassan Nassir Ali, amefunguka juu ya uhamisho wake aliopewa siku chache baada ya kuwaonya wanaume juu ya tabia zao zisizofaa kwenye jamii.

Yanga yakanusha taarifa ya kupotea kwa fedha

Uongozi wa klabu ya Yanga kupitia Msemaji wake Dismas Ten, umekanusha taarifa zilizoenea mitandaoni na katika baadhi ya vyombo vya habari zikieleza kuwa mapato ya fedha yaliyotokana na uuzaji wa kalenda na majarida yake zimeishia mifukoni mwa baadhi ya viongozi.

Hatimaye Yanga yaambulia ushindi dhidi ya Mbao FC


Klabu ya soka ya Yanga leo imefanikiwa kuibuka na ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Mbao FC na kuimaliza ukame wa ushindi kwenye timu hiyo uliodumu kwa mechi tisa tangu kocha Lwandamina aachane na timu.

Bingwa Wa Magonjwa Yote Sugu Yanayosumbua Kama Vile Pumu, Vidonda Vya Tumbo, Busha, Nguvu Za Kiume, Kisukari,

BABU MADUHU NI BINGWA WA MAGONJWA YOTE SUGU YANAYOSUMBUA KAMA VILE PUMU,