Woensdag, Augustus 08, 2018
NEC Yaijibu CHADEMA Kuhusu Uchaguzi Mdogo Jimbo La Buyungu

Hussein Makame-NEC
Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Dkt. Athumani Kihamia amesema Msimamizi wa Uchaguzi wa Jimbo la Buyungu ataendelea kutekeleza majukumu yake kwa kuwa malalamiko yaliyotolewa na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) ya kumkataa msimamizi huyo hayakufuata taratibu za kisheria.
Dinsdag, Augustus 07, 2018
Maandag, Augustus 06, 2018
Teken in op:
Plasings (Atom)