Woensdag, Februarie 07, 2018

Tanzania Kinara Utawala Bora Afrika Mashariki....Pia imetajwa kuwa miongoni mwa nchi zenye uchumi unaokua kwa kasi barani Afrika.


Na. Immaculate Makilika

Orodha ya Hali ya Demokrasia Duniani (2017 Democracy Index) iliyozinduliwa Februari 2,  mwaka huu  na kuchapishwa na  jarida kongwe na mashuhuri duniani la The Economist  imeitaja  Tanzania kuwa nchi ya kwanza katika maswala ya Utawala Bora kwenye  ukanda wa Afrika Mashariki.

Serikali yatangaza kuboresha mishahara


Na Chrispin kalinga

Serikali ya Tanzania imeahidi kuanza kuboresha maslahi ya watumishi ya walimu ikiwemo mishahara yao kipindi hiki kutokana na kumaliza zoezi la muda mfupi la uhakiki wa wafanyakazi hewa katika sehemu mbalimbali za ajira.

Msigwa ampa makavu Kigwangala Bungeni

Mbunge wa Iringa Mjini kwa tiketi ya CHADEMA, Mhe. Peter Msigwa amefunguka na kumchana Waziri wa Maliasili na Utalii Dkt. Hamisi Kigwangala na kudai kuwa anafanya kazi kwa mizuka na mihemko na kuisumbua sekta ya Utalii na Maliasili nchini.

MAHINDI YAUZWA SHILINGI 4800-3500 MKOANI NJOMBE

NJOMBE
Tokeo la picha la mahindiTokeo la picha la mahindi
Tokeo la picha la mahindi

Na  Chrispin kalinga

Wakazi wa Wilaya Njombe Mjini wailalamikia Serikali kwa kuchelewesha kufungua mipaka ya uuzwaji wa zao la Mahindi huku wengine wakisema kuwa wamecheleweshea kutafutiwa Soko la kuuzia mahindi hayo.

Trump aiambia Pentagon iandae gwaride la jeshi Washington



Donald TrumpHaki miliki ya pichaGETTY IMAGES

Rais wa Marekani Donald Trump anaripotiwa kuwauliza maafisa wakuu wa jeshi kuandaa gwaride kubwa zaidi nchini humo kuonyesha nguvu zake za kijeshi.
Afisa anayehusika na masuala ya habari katika ikulu ya white house, Sarah Sanders amesema rais Trump amewaagiza wakuu wa jeshi kupanga hafla hiyo ambayo raia wa taifa hilo watatoa shukrani na heshima zao kwa wanajeshi wao.
Ripoti zinasema kuwa rais Trump alifurahishwa mno na sherehe za Bastille nchini Ufaransa, ambako mbali na wanajeshi kuonyesha wanajeshi wake, magari ya kivita na vifaru pia inajumuisha maonyesho ya ndege za wana anga.
Sasa rais Trump anataka Marekani kuiga mfano huo wa Ufaransa.
Sherehe ambayo anasema itafana zaidi kuliko ya Ufaransa.
Kufuatia agizo hilo maafisa wakuu wa idara ya ulinzi nchini Marekani kwa sasa wanatafakari pendekezo hilo.
Suala muhimu ni tarehe ya sherehe hizo.
Siku ya kuwakumbuka wakongwe wa kivita huadhimishwa tarehe kumi na moja Novemba kila mwaka na inasemekana huenda sherehe hizo zikaandaliwa siku hiyo.
Tayari maeneo matatu ambayo huenda yakafikiriwa kuandaa sherehe hizo yametolewa.
Rais Trump anasemekana kupendekeza sherehe hizo kuandaliwa katika barabara ya Pennsylvania inayoliunganisha bunge la congress na ikulu ya white house na hoteli ya Trump International.

Jeshi la MarekaniHaki miliki ya pichaREUTERS

Lakini kuna wasi wasi kuwa baada ya sherehe hizo bara bara hiyo huenda ikaharibiwa kabisa kutokana na uzito wa vifaa vya kijeshi.
Tamasha za kijeshi sio za kawaida nchini Marekani kwa sababu ni ghali.
Sherehe za mwisho za kijeshi kuandaliwa baada ya vita vya ghuba iligharimu serikali dola milioni kumi.
Je ni kila mtu ana ridhia pendekezo hilo?
Wanasiasa wa chama cha Democratic wameshutumu mpango huo kwa gharama kubwa na kusema kuwa fikra hizo zinatoa ishara za kutia wasiwasi.
"Ni njia ovyo ya kupoteza fedha!" alituma ujumbe wa twitter mwakilishi Jim McGovern. "Trump anaonekana kuwa dikteta zaidi ya rais , Wamarekani wanastahili kiongozi bora zaidi."
Mwakilishi Jackie Speier, ambaye ni mwanachama wa kamati ya bunge kuhusu huduma za kijeshi ameliambia shirika la utangazaji CNN: "Nilishangazwa na pendekezo hilo kwa kweli .... tuna kiongozi anayetaka kuwa kama Napoleon."
"It's really a waste of money, and I think everyone should be offended by his need to always be showy... it's not our style, it's not the way we do business."

Chrispiny kalinga blog

Tetemeko la ardhi laangusha Maghorofa na kuua



Taarifa katika vyombo vya habari vya kimataifa leo February 7, 2018 ni kuhusiana na tukio lililotokea katika mji wa

“Hali ni mbaya kuliko ilivyokuwa mwanzo” –Nape Nnauye





Tokeo la picha la nape nnauye

Mkutano wa Bunge la kumi umeendelea Dodoma ambapo Wabunge walikuwa wakichangia mapendekezo yao

ZUMA azuiwa kutoa hotuba Bungeni


Spika wa Bunge la Afrika Kusini Baleka Mbete amesema hotuba ya kila mwaka ya Rais Jacob Zuma ambayo ingeelezea  kuhusu hali ya nchi, imeahirishwa kutokana na mashinikizo anayokabiliana nayo Rais huyo

Swansea yaiua Notts County 8-1 FA CUP.



Tammy AbrahamHaki miliki ya pichaGETTY IMAGES
Image captionTammy Abraham
Michuano ya FA CUP imepigwa Jana usiku kwa michezo mitatu, Swansea city wakafanikiwa kuwabamiza Notts County kwa kichapo cha mabao 8 -1

Conte: naiachia klabu ifanye uamuzi

epl


Haki miliki ya pichImage caption
Meneja wa Chelsea Muitaliano,Antonio Conte, baada ya kichapo cha magoli 4-1 dhidi ya Watford amesema anaiachia klabu yake kufanya uamuzi kama wanafikiri hafanyi kazi nzuri.

Bondia Muhammad Ali afungiwa miaka miwili



BoxingHaki miliki ya pichaGETTY IMAGES
Image captionBondia Muhammad Ali amefungiwa kwa miaka miwili
Bondia Muhammad Ali, raia wa uingereza amefungiwa kwa miaka miwili kujihusisha na mchezo wa masubwi baada ya kushindwa vipimo vya dawa zilizokatazwa michezoni.

Misri yamchunguza mnenguaji kwa 'kuchochea maadili mabovu'


Misri yamchunguza mnenguaji kwa 'kuchochea maadili mabovu'
Haki miliki ya pichaGETTY IMAGES
Image captionMisri yamchunguza mnenguaji kwa 'kuchochea maadili mabovu'
Misri yamchunguza mnenguaji kwa 'kuchochea maadili mabovu'
Mashtaka dhidi ya Ekaterina Andreeva yapo pamoja na "kuvaa nguo zinazokiuka vigezo vilivyowekwa"

Trump aiambia Pentagon iandae gwaride la jeshi Washington


Donald TrumpHaki miliki ya picha
Rais wa Marekani Donald Trump anaripotiwa kuwauliza maafisa wakuu wa jeshi kuandaa gwaride kubwa zaidi nchini humo kuonyesha nguvu zake za kijeshi.