Woensdag, Februarie 07, 2018

Misri yamchunguza mnenguaji kwa 'kuchochea maadili mabovu'


Misri yamchunguza mnenguaji kwa 'kuchochea maadili mabovu'
Haki miliki ya pichaGETTY IMAGES
Image captionMisri yamchunguza mnenguaji kwa 'kuchochea maadili mabovu'
Misri yamchunguza mnenguaji kwa 'kuchochea maadili mabovu'
Mashtaka dhidi ya Ekaterina Andreeva yapo pamoja na "kuvaa nguo zinazokiuka vigezo vilivyowekwa"

Video za Bi Andreeva,ambaye ni maarufu kwa jina Johara, zilisambazwa katika mitandao ya kijamii kwa mujibu wa mtandao wa habari wa Youm7
Katika video, Bi Andreeva anaonekana akicheza katika klabu ya usiku mjini Gaza, kaskazini wa Misri.
Mwaka uliopita maafisa nchini Misri, walimuhukumu kifungo cha miaka miwili gerezani mwimbaji aliyetoa video yenye kuchochea ngono.
Laila Amer alipatikana na hatia ya kuchochea maadili mabovu na kusambaza filamu isiyo na maadili.

Chrispiny kalinga blog

Geen opmerkings nie:

Plaas 'n opmerking