Sondag, Februarie 11, 2018

Vijiji 100 kupata maji ya Ziwa Victoria


WIZARA ya Maji na Umwagiliaji inatekeleza mradi wa maji wa vijiji 100 vilivyopo kandokando ya bomba kuu kutoka Ziwa Victoria hadi Kahama Shinyanga, Bunge limeelezwa.

Tanzania kujiondoa katika mpango wa kuwasaidia Wakimbizi



Serikali ya Tanzania inasema kuwa inajiondoa katika mpango wa Umoja wa mataifa wa kuwasaidia wakimbizi kuanza maisha mapya katika mataifa yanayowahifadhi.

MAKON DA AZITUMBUA MAHAKAMA ZA KATA

Picha ya David Maphone

Mkuu wa mkoa wa Dar Es Salaam Paul Makonda, leo amesimamisha shughuli za Mahakama za Kata(Mabaraza ya kata) kwa maelezo kwamba hazina Wanasheria wanaojua Sheria inayoweza kutoa haki, RC Makonda anapokea malalamiko ya wananchi wa mkoa wa Dar Es Salaam, katika ukumbi wa Diamond Jubilee.

TANGA RAHA- Sehemu ya Kwanza (1)









































MWANDISHI: EDDAZARIA G.MSULWA

Ni siku ya utambulisho mbele ya wanafunzi wa shule ya sekondari moja jijini Tanga nikiwa mimi na mwalimu mwenzangu ambaye wa kike ambaye ndio tumetoka chuo cha ualimu na kupangiwa shuleni hapa
Akaanza mwenzangu kujitambulisha ambaye, akapigiwa makofi na wanafunzi kisha nikafwatia mimi kujitambulisha

"Mimi ninaaitwa Sir Eddy nitafundisha Biology na Chemisty"
Wanafunzi wote wakapiga makofi ma vigelegele hukt wakionekana kupendezwa na utambulisho wangu mfupi na wakueleweka.Muda wa masomo nikakabithiwa kuanza na kidato cha nne katika somo la Biology ambao ndio nao wanaanza mwezi wa kwanza wa muhula wa masomo.Nikaanza kuuliza mwanafunzi mmoja mmoja jina lake ili kuniwia rahisi kuwafundisha na kuwazoea kwa haraka
Nikaanza kipindi huku nikiwauliza uliza maswali ya mada walizo zisoma wakiwa kidato cha tabu, ili niweze kwenda nao sawia kwenye kufundishana
"Ulisema unaitwa nani, binti?"
"Rahma"
"Ehee elezea Reproduction(uzalishaji) kwa mwanadamu inakuwa vipi?"
Akanza kuelezea hatua moja baada ya nyingine kuanzia mtoto anavyo tafutwa hadi kuzaliwa bila hata kukosea.Wanafunzi wenzake wakampigia makofi huku wengine wakitaka kutokana na baadhi ya vitu alivyokuwa akivizungumza
Wakanipa ushirikiano mzuri hadi nikamaliza kipindi na kurudi zangu, ofisini nikisubiri kwenda darasa jengine
Muda wa kutoka ukawadia nikabeba begi langu lenye laptop yangu niliyo hifadhi vitu vyangu mbalimbali
"Sir ninaweza kukusaidia kubeba begi?"
"Rahma ndio unaweza kunisaidia"
Rahma yupo na mwenzake ambaye sikumuona darasani wakati nilipokuwa ninafundisha somo langu
"Unakalia wapi?"
"Maeneo sijui wanapaita Chuda, kitu kama hicho"
"Sir Eddy kwani Tanga wewe ni mgeni?"
"Nimgeni nina kama siku ya nne leo, tangu nije bado majina yana nisumbua sumbua kuyashika"

"Umetokea wapi?"
"Arusha"
Tukatembea njia nzima huku tukizungumza mambo mengi, kuhusiana na mji huu ambao nyumba zake zimepangika vizuri kwa mpangilio wa mistari mistari, nitofauti sana na mji kama Dar es Salaam.Tukafika nyumbani kwangu na nikawakaribisha na sote tukaingia ndani kuingia ndani
"Ehe sir Eddy umejitahidi?"
Rahma ni muongeaji sana kiasi kwamba hakuwa anampa mwenzake nafasi, ya kuzungumza na mimi japo hata kuchangia mada ya jambo tunalo lizungumzia
"Nimejitahidi vipi?"
"Chumba chako ni kizuri"
"Asante"
"Sir acha sisi twende tutakuja kukutembelea jumamosi"
"Sawa karibuni"
Wakaondoka na kuniacha nikiendele na shughuli zangu za kawaida, ikiwemo kupika chakula cha mchana, nilicho kijumlisha na chakula cha usiku.Nikaendelea kufanya kazi kwa juhudi siku zote za kazi yangu, huku upendo wangu wa kuipenda kazi yangu ukizidi kuongezeka kadri ya siku zilivyozidi kukatika....

Chrispiny kalinga blog

blog inabadilika jina na kuitwa MBASHARA BLOG

MILIKI WA BLOG YA CHRISPIN KALINGA BLOG ANAPENDA KUKUTAARIFU MSOMAJI WAKE KUWA BLOG INABADILISHWA JINA NA KUITWA MBASHARA BLOG

MAHANDI YAUZWA KAMA MTUMBA

Picha ya Ado Junior
Wafanya biashara wilayani njombe mkoani njombe wialalamikia Serikali kwa kufunga mipaka ya kutoa mahindi yasitoke nje ya Nchi kwa madai nchi iwe na chakula cha kutosha 

WAHI UPATE OFA YA KUSOMA BURE KABISA..Eckros school of journalis





Chuo cha uandishi wa habari na utangazaji Eckros school of journalism kinakutangazia nafasi za masomo kwa mwaka 2018-2019 kwa kozi zifuatazo kwa ngazi ya
cheti.
.Uandishi wa habari na utangazaji
.Uongozaji wa hotel za kimataifa
.Ualimu wa awali
.Mafunzo ya udereva
.Mafunzo ya kompyuta program zote

B2K AWAKOSHA WANATUNDUMA

Picha ya B-k Mnyama
Manii wa Bongo FLEVA Anafahamika kwa jina la B2K anatarajia kufanya vitu vizuli katika siku ya sikuKuu ya wapendanao hali maalufu kama VALENTINE DAY 

Mambo 5 Ya Kuzingatia, Kama Wewe Ni Mjasiriamali Unayetaka Mafanikio Makubwa

Mafanikio ni kitu cha lazima sana katika safari ya mjasiriamali. Uwe mjasiriamali mdogo, wa kati au mkubwa kwa vyovyote vile  unahitaji mafanikio. Lakini ili kufanikiwa na kufikia mafanikio hayo,  yapo mambo ya msingi ambayo unatakiwa kuyazingatia.

Mambo hayo ni kama haya yafuatayo:-

Tangazo la Majina ya Watumishi wa Umma wanaostahili kulipwa madai ya malimbikizo ya Mishahara baada ya Uhakiki

Tangazo la Majina ya Watumishi wa Umma wanaostahili kulipwa madai ya malimbikizo ya Mishahara baada ya Uhakiki

Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Jumapili ya February 11

Saterdag, Februarie 10, 2018

Serikali yawasha moto Bungeni kuhusu madanguro, biashara ya ngono


Serikali imesema ina andaa mikakati itakayowezesha kudhibiti biashara ya ngono na uwepo madanguro nchini, hasa kwenye maeneo ya mijini.

Vrydag, Februarie 09, 2018

RC,RUKWA APIGANA NA PANYA




Mkuu wa Mkoa wa Rukwa Mh. Joachim Wangabo amemuagiza Mkuu wa Wilaya ya Sumbwanga Dk. Khalfan Haule kuhakikisha anatafuta dawa ya kuulia panya wakiwa mashambani ili kuokoa miti kutokana na uchomaji wa misitu kwasababu ya uwindaji wa panya.