Woensdag, Februarie 21, 2018

Ni kosa polisi kujichunguza kwa Matukio yanayowahusu”......Hili ni Tamko la Asasi za Kiraia Kuhusu Hali ya Usalama Nchini


WITO WA ASASI ZA KIRAIA KUHUSU HALI YA USALAMA WA RAIA, HAKI ZA BINADAMU NA UTAWALA WA SHERIA NCHINI

UTANGULIZI
Sisi Asasi za Kiraia tulioweka sahihi katika Waraka huu, kwa umoja wetu tumesikitishwa sana na vitendo vya ukiukwaji wa haki za binadamu, utawala wa sheria na usalama wa raia vinavyoendelea hivi

Serikali Yaridhia Gharama za Mazishi ya Akwilina....Yagoma Kutoa fedha taslim


Wednesday, February 21, 2018

Serikali Yaridhia Gharama za Mazishi ya Akwilina....Yagoma Kutoa fedha taslim

Familia ya marehemu  Akwilina Akwiline inaendelea na maandalizi ya mazishi, huku ikielezwa kuwa Serikali imekubali kuyagharimia lakini si kutoa fedha.

Mwenyekiti Wa Halmashauri Ya Misungwi Na Mwanasheria Wakamatwa

JESHI la Polisi mkoani Mwanza kwa kushirikiana na Taasisi ya Kuzuia na Kupambana  na Rushwa Tanzania (TAKUKURU) mkoani hapa  imemkamata Mwenyekiti wa Halmashauri ya wilaya ya Misungwi Bw. Anthony Bahebe.

Mkuu Wa Wilaya ya Ludewa Andrea Tsere Akifafanua Lengo halisi la Mkutano huo,
Na Maiko Luoga Ludewa. 
Mkuu Wa Wilaya ya Ludewa Mkoani Njombe Mh, Andrea Tsere Amewataka Walimu Wakuu wa Shule za Msingi na Sekondari Ambao Shule zao Zimeshika Nafasi za Mikia zilizopo Katika Makundi ya Shule Kumi Duni Kwa matokeo ya Darasa la Saba na kidato cha Nne mwaka 2017 Wajiudhuru Nafasi zao za Ukuu wa Shule kwakuwa Wameshindwa Kutekeleza Majukumu yao.

TAZAMA LUDEWA KUPEWA UTARATIBU MWINGINE

Mbunge Wa Ludewa Mh, Deo Ngalawa Akichangia Mjadala Wa Elimu Jana,

TENENDE AGRICULTURE COMPANY LIMITED YAJA KIVINGINE 2018

Tokeo la picha la SEMBE

TENENDE AGRICULTURE COMPANY LIMITED.

Kampuni ya uzalishaji waUnga wa Mahindi Wilayani Njombe Mkoani Njombe inapenda kuwatangazia watanzania wote kwa jumla kuwa wao ni Wazalishaji wa Unga aina ya Sembe pamoja na Mafuta ya kupikia ainaya Alizeti sambamba na hilo ni Wasambazaji na Wauzaji wa Jumla na lejeleja pamoja na kumfikishia mteja wao popote alipo ndani ya Nchi ya Tanzania  Kwa bei poa kabisa . 

Maandag, Februarie 19, 2018

Diamond Platnumz atangaza ziara yake ya muziki nchini Marekani

Msanii wa muziki wa Bongo Fleva, Diamond Platnumz ametangaza ziara yake ya muziki nchini Marekani ambapo atatumbuiza kwenye majiji 12 nchini humo.

Diamond akionesha vifaa vya gharama vya Wasafi radio na Wasafi TV

Msanii wa muziki wa bongo fleva nchini, Diamond Platinumz ambaye anafanya vizuri katika sanaa ya muziki, anaendelea kuonesha umahiri katika kazi yake kwa kuendelea kukuza na kutanua soko la ajira Tanzania kwa ujasilia mali.

ratiba ya mazishi ya Kiongozi chadema hii hapa

Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), kimesema kinatarajia kuongoza shughuli za utoaji wa heshima za mwisho kwa mwili wa aliyekuwa Katibu wa chama hicho Kata ya

Waziri Mkuu amsimamisha kazi Mwanasheria........Ni baada ya kuisababishia halmashauri hasara ya sh. milioni 279

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amemsimamisha kazi Mwanasheria wa Halmashauri ya wilaya ya Misungwi Bw. Alphonce Sebukoto na kuagiza achungunzwe na vyombo husika.

Taarifa Toka Kurugenzi ya Mawasiliano ya Rais IKULU

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli amemteua Prof. Makenya Abraham Honoratus Maboko kuwa Mwenyekiti wa Tume ya Sayansi na Teknolojia Tanzania (COSTECH).

Baba wa Akwilina atamani kukutana na Polisi Aliyempiga Risasi Mwanaye ili Amng'ate hata Meno Tu


 Akwilini Shirima ambaye ni baba mzazi wa mwanafunzi wa Chuo Kikuu cha Taifa cha Usafirishaji (NIT), Akwilina Akwiline aliyepigwa risasi na polisi Februari 16, 2018 amesema siku akikutana na askari aliyemuua mwanaye atapambana naye hadi kifo.

Sondag, Februarie 18, 2018

Mtandao wa wanafunzi Tanzania (TSNP) Wamtaka Mwigulu Nchemba Ajiuzulu Sakata la Mwanafunzi wa NIT Kupigwa Risasii na Polisi

Mtandao wa wanafunzi Tanzania (TSNP) na Chama cha ACT-Wazalendo wamemwomba Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi,  Mwigulu Nchemba kujiuzulu ili kuonyesha uwajibikaji kwa maelezo kuwa ameshindwa kusimamia amani.