Msajili wa Vyama vya Siasa nchini, Jaji Francis Mutungi amekiandikia barua Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) akitaka kijieleza kwa nini asikichukulie hatua kwa kufanya maandamano Februari 16, 2018.
Dinsdag, Februarie 27, 2018
Sondag, Februarie 25, 2018
Donderdag, Februarie 22, 2018
MWAMWA KALINGA AKIWA KWENYE MAJARIBIO YA RUNINGA
Mmiliki wa mtandao huu wa blog akifanyiwa majaribio na kurugenzi wa chuo cha uandishi wa habari kwa lengo la kuangaliwa kama alikuwa makini darasani
Chrispiny kalinga blog
wa kwanza kushoto ni daniel lameck na wapili alioye vaa shati ya njano ni Host wa kipindi ni Chrispin kalinga na aliye vaa kofia ni Mkurugenzi wa Chuo cha Uandishi wa habari mkoani njombe maeneo uya sabasaba na wamwisho kulia ni jeremia Makweta.
Chrispiny kalinga blog
Teken in op:
Plasings (Atom)