Woensdag, Februarie 28, 2018

Yanga yapewa majina ya wachezaji hatari wa Botswana

TIMU ya Yanga, imepewa majina matatu ya nyota wanaokipiga kwenye kikosi cha Township Rollers ya Botswana ambao wanatakiwa kuwachunga ili wasiweze kuwaletea

Hii ndio ripoti ya idadi ya Watu Tanzania


Ripoti ya makadirio ya watu nchini inaonyesha Tanzania kuna idadi ya watu 54.2 milioni hadi kufikia mwaka 2018 huku ikieleza kuwa kila mwaka kuna ongezeko la watu milioni 1.6.

Waziri Mavunde aagizi Wakurugenzi kupandishwa Kizimbani



NAIBU Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, anayeshughulikia Kazi, Ajira na Vijana, Mhe. Antony Mavunde, ameagiza waajiri ambao hawajajisajili na Mfuko wa Fidia kwa Wafanyakazi kufanya hivyo, vinginevyo wafikishwe mahakamani mara moja.

Daktari wa Simba SC azungumzia hali ya Okwi


Daktari wa klabu ya Simba, Yassin Gembe amesema kuwa mshambuliaji wa timu hiyo raia wa Uganda, Emmanuel Okwi anaendelea vizuri kufuatia majeraha aliyopata kwenye mchezo uliyopita dhidi ya Mbao FC.

Heri Muziki afunguka hataki tena kuwa katika Mahusiano na mtu maarufu


Muimbaji wa Bongo Flava, Heri Muziki amesema baada ya kuachana na aliyekwa mpenzi wake, Diva hatarajii tena kuwa katika mahusiano na mtu maarufu.

Hitmaker huyo wa ngoma ‘Cheche’ ameimbia Bongo5 kuwa baada ya kuachana na Diva ndio itakuwa mwisho wa yeye kuingia katika mahusiano na mtu maarufu.

TCRA yasitisha nyimbo zisizokuwa na maadili




Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania [TCRA] imepokea Orodha ya nyimbo zisizokuwa na maadili kutoka Baraza la Sanaa la Taifa [BASATA].

Kenya: Kiongozi wa wanafunzi auawa kwa kupigwa risasi

Kifo cha Mwanafunzi wa Chuo kikuu nchini Kenya kimezuaa shutuma mpya za mauaji yanayodaiwa kutekelezwa na maafisa wa polisi nchini humo.

Linah aweka wazi aina ya mwanaume anayemtamani kuwa nae

Msanii wa Bongo Fleva Linah Sanga maarufu kama 'Ndege Mnana' amekuwa miongoni mwa wanawake wachache wanaovutiwa kimahaba na wanaume wenye rangi ya ngozi nyeusi tofauti na wengine wanavyochagua watu wa kuwa nao katika mahusiano ya kimapenzi.

Vikwazo dhidi ya Korea Kaskazini havijawekwa kwa nia ya kulididimiza taifa

Korea Kusini inadai kwamba vikwazo vilivyowekwa dhidi ya Korea Kaskazini havikuwekwa kwa nia ya kulididimiza taifa hilo bali kulisaidia.

Hii ndio idadi ya wanaume waliyowahi ku-date na Linah

Msanii wa Bongo Fleva, Linah ameamua kuweka wazi kwa kutaja idadi ya wanaume ambao alishawahi kudate nao tangu awe maarufu huku akishindwa kukumbuka wanaume ambao alikuwa nao kipindi hicho kabla ya kupata jina.

Yanga kwa mara ya kwanza yapata ushindi Mtwara

Kwa mara ya kwanza katika historia, Yanga imefanikiwa kupata ushindi kwenye ardhi ya Mtwara ikicheza dhidi ya Ndanda FC baada ya kuifunga 2-1 kwenye mchezo wa VPL uliochezwa uwanja wa Nangwanda Sijaona.

Zimbabwe: Kamisheni ya Amani na Maridhiano yaanza kusikiliza tuhuma za ukatili na mauaji

Kamisheni ya amani na maridhiano nchini Zimbabwe,(NPRC),leo imeanza kusiliza tuhuma za waathrika wa vitendo vya kikatli na mauaji vilivyotekelezwa nchini humo miaka 30 iliyopita wakati wa utawala wa Robert Mugabe.

Nigeria: Raia 1,130 wakombolewa

Takriban raia 1,130 wamekombolewa na washukiwa 37 wa kundi la wanamgambo wa Boko Haram,wameuwa katika mashambulizi yaliyotekelezwa kwa pamoja na vikosi vya majeshi ya Cameroon na Nigeria,kuzunguka jimbo la ziwa Chad.