Sondag, Augustus 26, 2018

Mbosso afichua uhusiano wa wimbo wake na kuachwa kwa Diamond na Zari


Msanii wa muziki Bongo, Mbosso amesema si kweli kwamba wimbo wake unaokwenda kwa jina la Nimekuzoea alimuimbia Diamond Platnumz baada ya kuachwa na mzazi mwenzie, Zari The Bosslady.

Saterdag, Augustus 25, 2018

JIFUNZE NAMNA YA KUTUMIA KUEPUKA KUPATA MIMBA AU KUSABABISHA MIMBA

Image result for LOVE
Kwa msaada zaidi au kama hujaelewa unauwezo wa kunitafuta kwa sim nambari:0753121916 kwa mashart nafuu.usiogope masaa 24 nipo kwaajili yako 

Tumia Chandurua kwa kumlinda Mama na Mtoto.
By chrispin kalinga.,,,,,

Kuna njia kuu tatu za asili ili kupanga namna ya kupata mtoto au kutopata:-

JINSI AMBAVYO UNAWEZA KUTUNZA PENZI LAKO KWA MWENZI WAKO


ASANTE
Wiki iliyopita tulijifunza namna ambavyo unaweza kuanzisha mahusiano na mtu yeyote unaye mpenda....mimi naitwa chrispin kalinga ambaye nakusogezea kila wiki lakini unayo nafasi ya kunitafuta kwa simu yangu ya mkononi :0753121916

Mbosso Akabidhiwa Hati ya Mjengo

Msanii wa muziki kutoka label ya WCB, Mbosso amefunguka kuzungumzia nyumba ambazo walijengewa na Mkubwa Fella wakati yupo Yamoto Band. Nyumba hizo ni nne za wasanii wote ambao walikuwa Yamoto Band zipo Mbande Kisewe, Chamazi jijini Dar es salaam.

Zitto awajia juu wanaoponda muonekano wa wahudumu wa ATCL

Mbunge wa Kigoma Mjini kupitia tiketi ya ACT Wazalendo, Mhe. Zitto Kabwe amekerwa na Watanzania wanaoponda muonekano wa wahudumu wa kike wa shirika la ndege la Tanzania (ATCL).

NEC yatangaza uchaguzi mdogo jimbo la Liwale

Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imetangaza uchaguzi mdogo wa Jimbo la Liwale, Lindi kufutia kujiuzulu kwa alieyekuwa Mbunge wake kwa tiketi ya Chama cha Wananchi (CUF), Zuberi Mohamed Kuchauka.

Hali ya Waziri wa Maliasili na Utalii hii hapa

Hali  ya Waziri wa Maliasili na Utalii, Dk. Hamisi Kigwangalla, aliyelazwa katika Taasisi ya Tiba ya Mifupa (MOI), inazidi kuimarika na juzi alifanya mazoezi ya kutembea umbali wa kilometa nne kwa kutumia saa moja na dakika 23.

Hali ya Ommy Dimpoz ni mbaya, arudishwa hospitalini Afrika Kusini

Msanii wa Bongo Fleva, Omar Faraji Nyembo ‘Ommy Dimpoz’ amerudishwa nchini Afrika Kusini ‘Sauzi’ kwa ajili ya matibabu baada ya hali yake kuendelea kutokuwa vizuri licha kutolewa hospitalini huko siku chache zilizopita.

Donderdag, Augustus 23, 2018

Mabasi ya Shule Yagongana Jijini Mwanza Na Kuua Mmoja

Basi la shule ya msingi Kivulini na la shule ya msingi Nyamuge yamegongana leo asubuhi na kusababisha kifo cha mtu mmoja.

Donderdag, Augustus 16, 2018

Wanaume  wanao  jihusisha  na  upigaji  wa  punyeto  kwa  muda  mrefu  husalia  kuwa  na  maumbile  ya  kiume  yaliyo  sinyaa  na  kudumaa.

Lugola Atangaza Kiama kwa Polisi Wala Rushwa

Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Kangi Lugola, amesema hatawaonea huruma polisi watakaokamatwa wakichukua rushwa na wale wanaonyanyasa wenye magari, bodaboda na wananchi.

Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Aamuru Wananchi wa Kijiji Kizima Wakamatwe na Kuwekwa Ndani.....RPC Mbeya Tayari Keshatuma Polisi

Mkuu wa Mkoa wa Mbeya, Albert Chalamila, ameliagiza Jeshi la Polisi kuwakamata na kuwasweka ndani wananchi wote wa Kijiji cha Ngole kilichopo Kata ya Ilungu wilayani Mbeya kwa kosa la kuharibu mradi wa maji wa kijiji jirani cha Msheye.

Waziri Mkuu Aagiza Kukamatwa Kwa Mtendaji....Ni baada ya upotevu wa sh milioni 141 za kijiji

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amemuagiza Kamanda wa TAKUKURU wa wilaya ya Igunga mkoani Tabora, Bw. Francis Zuakuu kumkamata aliyekuwa Mtendaji wa Kijiji cha Bulagamilwa, Bw. Ntemi James kwa tuhuma za kuhusika na upotevu wa sh. milioni 141 za kijiji hicho.