Dinsdag, Januarie 16, 2018

 TUJIKUMBUSHE KIDOGO BAJETI YA MWAKA HUU DUUH.

Taarifa Ya Serikali Kuhusu Mwenendo Wa Hali Ya Uchumi Na Utekelezaji Wa Bajeti Ya Serikali Kwa Mwaka 2017/18

JANUARY 16.2018



­­­
UTANGULIZI
 
 CHUO CHA UANDISHI WA HABARI NJOMBE HIKI HAPA.
NA chrispiny kalinga

 Eckros tourism college-njombe ni chuo pekee nyanda za juu kusini kinachofanya vizuri. Kufahamu zaidi angalia video hii. Kwa mawasiliano zaidi tupigie simu













 RAIS APONGEZWA.

January 16, 2018

UDSM Wampongeza Rais Magufuli Kwa Misimamo Thabiti Isiyoyumba

SeeBait


January 16, 2018

SOMA MAGAZETI YA LEO.

Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Jumanne ya January 16

SeeBait

chrispin kalinga

January 16, 2018

Uamuzi wa serikali dhidi ya gazeti la Nipashe kwa taarifa ya kupotosha kuhusu Rais

SeeBait

January 16, 2018

NA CHRISPINY KALINGA

MANENO MAZITO AYAONGEA WAZIRI MKUU

Waziri Mkuu: “Tutakamilisha ujenzi wa hospitali ya rufaa ya Musoma”

SeeBait
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amesema Serikali itahakikisha inakamilisha ujenzi wa hospitali ya Rufaa ya mkoa wa Mara iliyoanza kujengwa mwaka 1980.



KUINGIA IKULU KWA MH.LOWASSA KWALETA GUMZO CHADEMA

Taarifa ya leo ya Edward Lowassa kuhusu alichoongea na Rais Magufuli IKULU





 Yaastahajabu ya Musa haya

Gari imeruka kutoka barabarani mpaka ghorofa ya pili California (picha+3)


Maandag, Januarie 15, 2018

Ajali ya Gari yaua watu 11 na kujeruhi watu 5 mkoani Kagera.


Watu 11 wamepoteza maisha kufuatia ajali ya gari dogo HIACE aina ya Nissan Caravan yenye namba za usajili T 542 DKE ambapo imegonga magari makubwa mawili ya mizigo katika eneo la Nyangozi kata ya Nyantakara wilaya ya Biharamulo mkoani Kagera.


Donderdag, Januarie 11, 2018

BAVICHA TENA



Katibu Mkuu wa Baraza la Vijana wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (BAVICHA) Julius Mwita amefunguka na kusema kuwa Kaimu Katibu Mkuu wa Umoja wa Vijana Wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Shaka Hamdu Shaka huenda ana matatizo ya akili.Mwita amesema hayo leo Januari 11, 2018

 


WAFUGAJI LUDEWA,WALIA NA WEZI WA NG'OMBE WACHINJAJI WATAJWA,


11 January 2018

 
 

 January 11, 2018

TCRA Yamtosa Mrema Sakata la Kuzushiwa Kifo 

NA CHRISPINY KALINGA.

SeeBait
Baada ya Mwenyekiti wa Bodi ya Parole nchini, Mh. Agustino Lyatonga Mrema kusema anaenda kufungua kesi ya madai ya mabilioni ya shilingi TCRA  kwa watu waliomzushia taarifa za kifo, Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania imemuelekeza kiongozi huyo  kuanzia kituo cha polisi kabla ya kufika kwenye ngazi hiyo.

BAVICHA Wamshambulia Kwa Maneno Katibu Mkuu BAVICHA Baada ya Kudai Tundu Lissu ni Muongo na Anatafuta Umaarufu

January 11, 2018

Katibu Mkuu wa Baraza la Vijana wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (BAVICHA) Julius Mwita amefunguka na kusema kuwa Kaimu Katibu Mkuu wa Umoja wa Vijana Wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Shaka Hamdu Shaka huenda ana matatizo ya akili.