Saterdag, Junie 30, 2018

Ray C: “Nilikuwa Siwezi Kupanda Stejini Bila Kutumia Madawa Ya Kulevya”


Msanii mkongwe wa muziki wa Bongo fleva Rehema Chalamila maarufu kama Ray C amefunguka na kuelezea kipindi kigumu alichopitia wakati ameathirika na

Hamissa Mobetto Ajitosa Rasmi Bongo Fleva....Tazama Hapa Kionjo cha Wimbo wake Mpya



Mwanamitindo maarufu hapa nchini, Hamissa Mobetto ameamua kujiingiza katika sanaa ya muziki mara baada ya  kuachia ngoma inayoenda kwa jina la ”Madam hero”, ambayo ameongelea maisha yake akiamini katika kutoa tabasamu kwa jamii inayomzunguka hasa wamama na wadada.

Luis Suarez atangaza vita na Ureno


Mshambuliaji wa timu ya taifa ya Uruguay Luis Suarez, amesema kwa sasa yupo FIT, tofauti na alivyoanza michezo ya hatua ya makundi katika fainali za kombe la dunia, zinazoendelea nchini Urusi.

Rais Mnangagwa Amaliza Ziara Yake Nchini na Kurejea Zimbabwe


Rais wa Jamhuri ya Zimbabwe Mhe. Emmerson Dambudzo Mnangagwa tayari amemaliza ziara yake rasmi ya kiserikali ya siku mbili nchini Tanzania, Rais John Pombe Magufuli ambaye alikuwa mwenyeji wake amemsindikiza katika viwanja vya ndege vya Mwalimu Julias Kambarage Nyerere tayari kurejea nchini kwake.

Vrydag, Junie 22, 2018

SPIKA WA BUNGE MSTAAFU AFIWA NA MAMA YAKE MDOGO MKOANI NJOMBE

Image result for anna makinda


NJOMBE
Na Chrispin kalinga
leo June 22.2018 Spika wa Bunge mstaafu Mweshimiwa ANNA MAKINDA ameudhulia kwenye  msiba wa Mama yake Mdogo  aliye julikana kwa jina la Aluwa Ngole ulio tokea mkoani Dar es Salaam na kusafilishwa kuludi MkoaniNjombe.

Sondag, Junie 17, 2018

Breaking News: Orodha ya majina ya wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na kidato cha TANO, Vyuo vya Ufundi na Vyuo vya Elimu ya Kati kwa mwaka 2018


Wanafunzi 70,904 waliohitimu kidato cha nne mwaka jana wamechaguliwa kujiunga na kidato cha tano, vyuo vya ufundi na vya elimu ya kati kwa mwaka 2018, huku wengine 21,808 waliokuwa na sifa za kuchaguliwa wakiachwa.

mubashara blog +255753121916

OTTILIA MFIKWA HUYU HAPA AUCHANA ULIMWINGU KILA KONA

Tizama video ya mwimbaji wa injili kutoka njombe hii hapa live bila chenga
mubashara blog +255753121916

OTTILIA KUTOKA NJOMBE AULETA MKOA MPYA

NJOMBE 
Na chrispin kalinga 

Mwimbaji chipukizi wa nyimbo za injili  Anaye julikana kwa jina la Ottilia Mfikwa katika wilaya ya njombe mkoani njombe amezungumza na chombo chetu cha habari juu ya

Sondag, Junie 10, 2018

WAPIGA DEBE KERO MAFINGA MJINI



 PICHA YA MTANDAONI

Iringa -Mafinga. na Mwandishi wetu.

Wasafili mkoani iringa katika stand kuu ya mafinga mjini wawalalamikia watu wanao wapokea kwa kuwanyang'anya mabegi yao na kuyaalibu wakiwa wanawasili standhapo na huwapelekea kuhalibu mali zao.

habari za magazeti leo hizi hapa


Waziri Tizeba Aagiza Kukamatwa Kiongozi Wa AMKOS Aliyefuja Milioni 23


Na Mathias Canal-WK, Singida
Waziri wa Kilimo Mhe. Dkt Charles Tizeba amemuagiza Mrakibu wa polisi Wilaya ya Iramba ASP Magoma Mtani kumkamata aliyekuwa mwenyekiti wa Bodi ya Chama cha ushirika (AMKOS) Msai.