Woensdag, Februarie 28, 2018

UN: Mapigano yamezuia kusambaza misaada Ghouta, Syria

Umoja wa mataifa umesema mapigano yanayoendelea Mashariki mwa mji wa Ghouta nchini Syria yamezuia kusambazwa kwa misaada licha kukubaliana kuwepo kwa usitishwaji wa mapigano kwa saa tano.

Trump amtaja Parscale kama meneja wa kampeni zake za 2020

Rais wa Marekani Donald Trump amemtaja meneja wa kampeni zake za urais mwaka 2020.

Brad Parscale mtaalam wa mitandao, alifanya kazi katika kampeni

Atiwa mbaroni baada ya kutekeleza mauaji katika Facebook live

Prentis Robinson alifariki akijichukua kanda ya video ya moja kwa moja ya facebook Live

Maafisa wa polisi kaskazini mwa Carolina wanasema kuwa mtu mmoja alipigwa risasi hadi kufa alipokuwa akijichukua kanda ya video ya moja kwa moja katika mtandao wa facebook Live

Yanga yapewa muda wa kuimaliza Botswana


YANGA kwa sasa watakuwa na uhakika wa kuwamaliza wapinzani wao, Township Rollers ya Botswana katika mchezo wa hapa nyumbani baada ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), kuwafutia mchezo wao dhidi ya Mtibwa Sugar.

Shilole na mumewe wasaka mtoto

STAA wa Bongo Fleva, Zuwena Mohamed ‘Shilole’ ameeleza kuwa baada ya kuingia kwenye ndoa miezi kadhaa iliyopita kwa sasa yeye na mumewe, Ashraf Uchebe wako kwenye harakati za kusaka mtoto.

Jenerali Mabeyo asema kuna Viashiria vinavyotishia Usalama wa Nchi


Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama (JWTZ), Jenerali Venance Mabeyo amewataka Watanzania kujiepusha na vitendo vinavyoweza kutishia usalama wa nchi na kuharibu tunu ya amani iliyopo.

Yanga yapewa majina ya wachezaji hatari wa Botswana

TIMU ya Yanga, imepewa majina matatu ya nyota wanaokipiga kwenye kikosi cha Township Rollers ya Botswana ambao wanatakiwa kuwachunga ili wasiweze kuwaletea

Hii ndio ripoti ya idadi ya Watu Tanzania


Ripoti ya makadirio ya watu nchini inaonyesha Tanzania kuna idadi ya watu 54.2 milioni hadi kufikia mwaka 2018 huku ikieleza kuwa kila mwaka kuna ongezeko la watu milioni 1.6.

Waziri Mavunde aagizi Wakurugenzi kupandishwa Kizimbani



NAIBU Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, anayeshughulikia Kazi, Ajira na Vijana, Mhe. Antony Mavunde, ameagiza waajiri ambao hawajajisajili na Mfuko wa Fidia kwa Wafanyakazi kufanya hivyo, vinginevyo wafikishwe mahakamani mara moja.

Daktari wa Simba SC azungumzia hali ya Okwi


Daktari wa klabu ya Simba, Yassin Gembe amesema kuwa mshambuliaji wa timu hiyo raia wa Uganda, Emmanuel Okwi anaendelea vizuri kufuatia majeraha aliyopata kwenye mchezo uliyopita dhidi ya Mbao FC.

Heri Muziki afunguka hataki tena kuwa katika Mahusiano na mtu maarufu


Muimbaji wa Bongo Flava, Heri Muziki amesema baada ya kuachana na aliyekwa mpenzi wake, Diva hatarajii tena kuwa katika mahusiano na mtu maarufu.

Hitmaker huyo wa ngoma ‘Cheche’ ameimbia Bongo5 kuwa baada ya kuachana na Diva ndio itakuwa mwisho wa yeye kuingia katika mahusiano na mtu maarufu.

TCRA yasitisha nyimbo zisizokuwa na maadili




Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania [TCRA] imepokea Orodha ya nyimbo zisizokuwa na maadili kutoka Baraza la Sanaa la Taifa [BASATA].

Kenya: Kiongozi wa wanafunzi auawa kwa kupigwa risasi

Kifo cha Mwanafunzi wa Chuo kikuu nchini Kenya kimezuaa shutuma mpya za mauaji yanayodaiwa kutekelezwa na maafisa wa polisi nchini humo.

Linah aweka wazi aina ya mwanaume anayemtamani kuwa nae

Msanii wa Bongo Fleva Linah Sanga maarufu kama 'Ndege Mnana' amekuwa miongoni mwa wanawake wachache wanaovutiwa kimahaba na wanaume wenye rangi ya ngozi nyeusi tofauti na wengine wanavyochagua watu wa kuwa nao katika mahusiano ya kimapenzi.

Vikwazo dhidi ya Korea Kaskazini havijawekwa kwa nia ya kulididimiza taifa

Korea Kusini inadai kwamba vikwazo vilivyowekwa dhidi ya Korea Kaskazini havikuwekwa kwa nia ya kulididimiza taifa hilo bali kulisaidia.

Hii ndio idadi ya wanaume waliyowahi ku-date na Linah

Msanii wa Bongo Fleva, Linah ameamua kuweka wazi kwa kutaja idadi ya wanaume ambao alishawahi kudate nao tangu awe maarufu huku akishindwa kukumbuka wanaume ambao alikuwa nao kipindi hicho kabla ya kupata jina.

Yanga kwa mara ya kwanza yapata ushindi Mtwara

Kwa mara ya kwanza katika historia, Yanga imefanikiwa kupata ushindi kwenye ardhi ya Mtwara ikicheza dhidi ya Ndanda FC baada ya kuifunga 2-1 kwenye mchezo wa VPL uliochezwa uwanja wa Nangwanda Sijaona.

Zimbabwe: Kamisheni ya Amani na Maridhiano yaanza kusikiliza tuhuma za ukatili na mauaji

Kamisheni ya amani na maridhiano nchini Zimbabwe,(NPRC),leo imeanza kusiliza tuhuma za waathrika wa vitendo vya kikatli na mauaji vilivyotekelezwa nchini humo miaka 30 iliyopita wakati wa utawala wa Robert Mugabe.

Nigeria: Raia 1,130 wakombolewa

Takriban raia 1,130 wamekombolewa na washukiwa 37 wa kundi la wanamgambo wa Boko Haram,wameuwa katika mashambulizi yaliyotekelezwa kwa pamoja na vikosi vya majeshi ya Cameroon na Nigeria,kuzunguka jimbo la ziwa Chad.

(MPYA) SIMULIZI (MAISHA): ULIMWENGU WA KUTISHA 01


































Chrispiny kalinga blog

Simulizi Mix Entertainment-Video Ad.


































Chrispiny kalinga blog

Kiss Daniel - Yeba [Official Video]


































Chrispiny kalinga blog

Upasuaji Wa Kihistoria Wafanyika Moi Kwa Mafanikio

Madaktari Bingwa wa Taasisi ya Tiba ya Mifupa  Muhimbili  (MOI) kwa kushirikiana na Madaktari wa Hosipitali ya BLK  India jana  wamefanya upasuaji maalum wa mgongo kwa kutumia matundu (Minimal Invasive Spine Surgery) kwa mgonjwa aliyedhoofika uti wa mgongo.

Atiwa Mbaroni kwa Tuhuma za Kumbaka Mtoto wa Miaka Minne

JESHI la Polisi mkoani Mwanza, linamshikilia Soli Mkanzabe (24), mkazi wa mtaa wa Nyegezi kwa tuhuma za kumnajisi mtoto wa miaka minne (jina limehifadhiwa) na kumsababishia majeraha na maumivu makali katika sehemu za siri

Naibu Waziri Mavunde Aagiza Wakurugenzi Kupandishwa Kizimbani Jijini Mwanza....Sababu Ziko Hapa

Khalfan Said, Mwanza
NAIBU Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, anayeshughulikia Kazi, Ajira na Vijana, Mhe. Antony Mavunde,

Kilichosababisha Mavunde na Biteko kufanya ziara mkoani Shinyanga

Na Mathias Canal, Shinyanga

Naibu Waziri wa wizara ya Madini Mhe Doto Mashaka Biteko na Naibu Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Kazi Vijana na Ajira Mh Anthony Mavunde jana 27 Februari 2018 wametinga Mkoani Shinyanga kwa ziara ya kikazi ya

Maandamano yamponza Mbuge wa CHADEMA, Mkutano wake Wazuiwa

Mbunge wa Bukoba Mjini, Wilfred Lwakatare amezuiwa na Jeshi la polisi nchini kufanya mkutano wa hadhara ambao ulipangwa kufanyika leo Februari 28, 2018 jimbo Bukoba Mjini katika uwanja wa Soko la Rwamishenye.

Mahakama imeombwa kufuta kesi ya ‘Ndama mtoto wa Ng’ombe’

Upande wa utetezi katika kesi ya kughushi, inayomkabili mfanyabiashara, Hussein Shabani maarufu ‘Ndama mtoto wa Ng’ombe’ umeuomba upande wa mshtaka kuifuta kesi hiyo katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu hadi upelelezi utakapokamilika.

Teknomiles - Diana [Official Video]


































Chrispiny kalinga blog

TAZAMA MAAJABU HAYA JINSI ALIVYO JITUPA BAARINI

Tizama jinsi ilivyo kuwa hapo chini







hapo ndipo moja ya abilia aliye kuwa anasafili na baadaye akaamua kujitupa ndani ya bahari kwenye eneo lenye kina kilefu




































Chrispiny kalinga blog

Ajirusha baharini kina kirefu Akiwa Safarini Kwenda Zanzibar

Mwanaume mmoja ambaye jina lake bado halijafahamika amejirusha baharini kutoka katika boti ya Azam iliyokuwa ikitokea jijini Dar es Salaam kuelekea Zanzibar Jumatatu, katika eneo linalohisiwa kuwa na kina kirefu.

Waliojeruhiwa kwa Risasi Maandamano ya CHADEMA waachiwa kwa Dhamana

Watu watatu wanaodaiwa kuwa wafuasi Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, wakikabiliwa na shtaka la kufanya mkusanyiko isivyo halali.

Treni ya abiria yapinduka na kuanguka


Treni ya abiria ya Shirika la Reli Tanzania iliyokuwa ikitokea mkoani Dodoma kwenda Kigoma imepata ajali katika eneo la Kijiji cha Mpeta wilayani Uvinza.

Dinsdag, Februarie 27, 2018

LEO MBOWE AMEONGEA JAMBO LA MAANA SANA; MSIKILIZE


































Chrispiny kalinga blog

"Hukuma ya Sugu tuliijua siku nyingi na imepangwa Hotelini" -Mbowe


































Chrispiny kalinga blog

New AudiO of diamond platnumz - KOSA LANGU


































Chrispiny kalinga blog

Mpenzi mpya wa Diamond Platnumz awaumiza vichwa Zari na Hamisa, Mange at...


































Chrispiny kalinga blog

zari ametaja mpenzi mpya baada ya kumtosa damond?atampeleka diamond maha...


































Chrispiny kalinga blog

Rais Magufuli Apiga Simu Kumpongeza Diamond, Sikiliza Alichokisema


































Chrispiny kalinga blog

RAIS MAGUFULI AONGEA NA DIAMOND PLATNUMZ KWENYE CLOUDS360


































Chrispiny kalinga blog

Nandy Na Aslay Walivyonogesha Usiku Wa Mapenzi Escape One


































Chrispiny kalinga blog

FULL HIGHLIGHTS: MAJIMAJI FC 1-2 YANGA SC (ASFC - 25/02/2018)


































Chrispiny kalinga blog

TENENDE AGRICULTURE COMPANY LIMITED YAJA KIVINGINE 2018

Tokeo la picha la SEMBE

TENENDE AGRICULTURE COMPANY LIMITED.

Kampuni ya uzalishaji waUnga wa Mahindi Wilayani Njombe Mkoani Njombe inapenda kuwatangazia watanzania wote kwa jumla kuwa wao ni Wazalishaji wa Unga aina ya Sembe pamoja na Mafuta ya kupikia ainaya Alizeti sambamba na hilo ni Wasambazaji na Wauzaji wa Jumla na lejeleja pamoja na kumfikishia mteja wao popote alipo ndani ya Nchi ya Tanzania  Kwa bei poa kabisa . 

WAKANDARASI WAZEMBE KUKAMATWA IRINGA,




















Mkuu wa Mkoa wa Iringa, Amina Masenza amesema hatasita kuwakataa mameneja wa Wakala wa Barabara za Vijijini na Mijini (Tarura)  waliopo mkoani kwake endapo hawatatimiza wajibu wa kusimamia wakandarasi wakati wa kutengeneza barabara.

WATUMISHI NCHINI WATAKIWA KUWAHUDUMIA WANANCHI BILA UBAGUZI


Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amewataka watumishi wa umma wawatumikie wananchi kwa uweledi na ustadi bila ya ubaguzi wa aina yoyote.
Waziri Mkuu alitoa kauli hiyo jana (Jumatatu, Februari 26, 2018) wakati akizungumza na watumishi wa wilaya za Masasi na Nanyumbu kwa nyakati tofauti.

Waziri Mkuu ambaye yuko mkoani Mtwara kwa ziara ya kikazi aliwasisitiza watumishi wa umma kutekeleza majukumu yao ipasavyo.

Alisema Rais Dkt. John Magufuli amesisitiza watumishi wa umma wawatumikie wananchi bila ya ubaguzi wowote pamoja na kuacha kufanya kazi kwa mazoea.

“Watumishi wa umma lazima mtambue kwamba msimamo wa Serikali ni kuwahudumia wananchi bila ya ubaguzi wa kidini, kiitikadi na kipato.”

Waziri Mkuu alisema ni vyema watumishi hao kuanza kujitathmini kwa sababu Serikali haitowavumilia watumishi watakaoshindwa kuwajibika kwa wananchi.

Pia aliwataka watendaji hao kuacha urasimu na wahakikishe kila fedha iliyotengwa kwa ajili ya utekelezaji wa miradi ya maendeleo inatumika kama zilivyoelekezwa.

Waziri Mkuu aliwaagiza watendaji hao wawe na mpango wa kuwatembelea wananchi kwa ajili ya kusikiliza kero zinazowakabili na kuzipatia ufumbuzi.

 (mwisho)
IMETOLEWA NA:
OFISI YA WAZIRI MKUU,
JUMANNE, FEBRUARI 27, 2018.

Chrispiny kalinga blog

Saudi Arabia yawafuta kazi Wakuu wa majeshi

Saudi Arabia imewafuta makamanda wa vyeo vya juu jeshini akiwemo mkuu wa majeshi.

Mfalme Salman pia amefanya mabadiliko kwa makanda wa vikosi vya nchi kavu na vile vya angani.

Taarifa hizo zilichapishwa na shirika rasmi la habari la Saudi Arabia la SPA, lakini hakuna sababu iliyotolewa ya kufutwa kwa makamanda hao.

Vanessa Mdee atoa fursa kwa wasicha


Msanii wa muziki Bongo, Vanessa Mdee ametoa mchongo kwa wasichana,Muimbaji huyo wa ngoma Kisela kwa sasa ametangaza kutafuta madansa wa kike

TFF yabadili tena ratiba za Simba na Yanga

Shirikisho la soka nchini limebadili tena ratiba ya ligi kuu soka Tanzania Bara mara hii ikihusisha michezo ya timu za Simba na Yanga kusogezwa mbele na mwingine kurudisha nyuma.

Kwa upande wa mchezo wa Simba SC dhidi ya Stand United uliotakiwa kuchezwa jumapili ya Februari 4, umerudishwa nyuma kwa siku mbili hadi Ijumaa Februari 2, ukipigwa katika uwanja wa taifa Dar es salaam.

Mchezo huo umerudishwa nyuma ili kuipa nafasi klabu ya Simba kujiandaa na mchezo wake wa hatua ya kwanza kombe la Shirikisho dhidi ya Al Masry ya Misri utakaopigwa Februari 7.

Kwa upande wa Yanga mchezo wao dhidi ya Mtibwa Sugar uliokuwa uchezwe Februari 3 kwenye uwanja wa Jamhuri Morogoro umepelekwa mbele na tarehe yake itatajwa hapo baadae.

Simba inaongoza ligi ikiwa na alama 45 kwenye mechi 19, huku wapinzani wao Yanga wakiwa katika nafasi ya pili na alama 37 kwenye michezo 18. Yanga kesho itakuwa ugenini kucheza na Ndanda FC kwenye mchezo wa ligi kuu.

Chrispiny kalinga blog

Hawa ndio waamuzi watakaochezesha mechi ya Yanga vs Rollers


Shirikisho la mpira wa miguu Africa (CAF) limewataja waamuzi kutoka Burundi kuwa ndio watachezesha mchezo wa ligi ya mabingwa barani Afrika kati ya Yanga dhidi ya Township Rollers FC ya Botswana utakaochezwa Machi 6, 2018 kwenye uwanja wa Taifa saa 10:30 jioni.

Mwamuzi wa kati atakuwa Pacifique Ndabihawenimana akisaidiwa na mwamuzi msaidizi namba moja Willy Habimana na mwamuzi msaidizi namba mbili Pascal Ndimunzigo wakati Kamishna wa mchezo huo anatoka Swaziland Mangaluso Jabulani Langwenya

Mechi ya marudiano itachezwa Machin 17, 2018 nchini Botswana na itachezeshwa na waamuzi kutoka Morocco.

Mwamuzi wa kati atakuwa Redouane Jiyed akisaidiwa na mwamuzi msaidizi namba moja Youssef Mabrouk na mwamuzi msaidizi namba mbili Hicham Ait Abou, mwamuzi wa akiba Samir Guezzaz na kamishna wa mchezo huo anatoka Afrika Kusini Gay Makoena.
Chrispiny kalinga blog

Mbowe na wenzake waachiwa kwa dhamana

Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe na viongozi wengine wachama hicho wameachiwa kwa dhamana baada ya kuhojiwa Kituo Kikuu cha Polisi tangu saa 6:50 mchana

Diamond Akabidhiwa Rasmi Leseni ya Wasafi TV na Wasafi Redio

Hatimaye Bosi wa Wasafi Classic Baby (WCB) Diamond Platinumz amepata leseni ya kuziweka hewani redio na televisheni za Wasafi zilizobatizwa jina la ‘Wasafi Radio na Wasafi TV’.

Freeman Mbowe na vigogo wengine wa Chadema waripoti polisi

Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe na viongozi wengine wa chama hicho wamekwenda kuripoti Kituo Kikuu cha Polisi.

DPP akata rufaa hati ya kuzuia dhamana kukataliwa

Mkurugenzi wa Mashtaka DPP amekata rufaa kupinga uamuzi wa Jaji wa Mahakama Kuu, Firmin Matogoro wa kukataa hati ya kuzuia dhamana ya washtakiwa Antonia Zakaria na Timoth Kilumile wanaokabiliwa na mashtaka ya uhujumu uchumi.

Mahakama Yaitupa Kesi Ya Mchungaji Mwingira

Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imeitupilia mbali kesi ya madai iliyofunguliwa na Dk William Morris, raia wa Marekani dhidi ya mkewe Dk Phills Nyimbi na Mchungaji Josephat Mwingira.

Watu wawili watiwa mbaroni kwa kuhusika na mauaji ya kiongozi wa CHADEMA Kinondoni

Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Slaam linawashikilia watu wawili kwa tuhuma za kuhusika na mauaji ya aliyekuwa Kiongozi wa chama cha Chadema Kata ya Hananasifu, Marehemu Daniel John.

MamboSasa: Ole Wenu Mtakao Andamana....Kitakachotokea Tusilaumiane

KAMANDA wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam Lazaro Mambosasa amesema ni marufuku kwa mwanachi yoyote kushiriki kwenye maandamano kwani hawapo tayari kuona watu wakiandamana na kusababisa uvunjifu wa amani iliyopo.

Tundu Lissu Afunguka Mambo 6 Kuhusu Kifungo cha Sugu

Mbunge wa Singida Mashariki, Mhe. Tundu Lissu amefunguka kuhusu adhabu ya kifungo cha miezi mitano kwa Mbunge wa Mbeya Mjini na Katibu wa CHADEMA Kanda ya Nyasa Emmanuel Masonga.

Sondag, Februarie 25, 2018

Rais Magufuli Ashiriki Ibada Ya Misa Takatifu Iliyofanyika Katika Kanisa La Kigango Cha Mlimani Chato

Rais Mhe.Dkt John Pombe Magufuli akishiriki Ibada ya misa Takatifu katika kanisa la kigango cha Mlimani (Parokia teule ya mlimani)lililopo Wilayani Chato Geita.Februari 25,2018.

Walichojadili Waziri Mwakyembe, Rais wa FIFA na CAF kuhusu uanachama wa Zanzibar

Na Anitha Jonas – WHUSM,Dar es Salaam
Rais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Duniani (FIFA) Gianni Infantino na Rais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Afrika (CAF)

Ahadi ya FIFA kwa Tanzania baada ya Rais Gianni Infantino kufika Nchini

Na Anitha Jonas –WHUSM , Dar es Salaam.
Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) limeahidi kuendeleza viwanja tisa nchini kufuatia kuongezeka kwa dau la pesa za

Hukumu ya Sugu Kusomwa Kesho February 26

Hatima ya mbunge wa Mbeya Mjini (Chadema), Joseph Mbilinyi maarufu Sugu anayeshtakiwa kwa kosa la kutumia lugha ya fedheha dhidi ya Rais John Magufuli itajulikana kesho.

Kakobe akana kukwepa kodi,asema taarifa za TRA ni za Kisiasa

Askofu Mkuu wa Kanisa la Full Gospel Bible Followship (FGBF), Zachary Kakobe amekanusha taarifa za Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) kwamba kanisa lake linakwepa kodi.

Donderdag, Februarie 22, 2018

MWAMWA KALINGA AKIWA KWENYE MAJARIBIO YA RUNINGA

Mmiliki wa mtandao huu wa blog akifanyiwa majaribio na kurugenzi wa chuo cha uandishi wa habari kwa lengo la kuangaliwa kama alikuwa makini darasani


wa kwanza kushoto ni daniel lameck na wapili  alioye vaa shati ya njano ni Host wa kipindi ni Chrispin kalinga na aliye vaa kofia ni Mkurugenzi wa Chuo cha Uandishi wa habari mkoani njombe maeneo uya sabasaba na wamwisho kulia ni jeremia Makweta.
































Chrispiny kalinga blog

Msajili wa vyama aiandikia barua Chadema

Msajili wa Vyama vya Siasa nchini, Jaji Francis Mutungi amekiandikia barua Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) akitaka kijieleza kwa nini asikichukulie hatua kwa kufanya maandamano Februari 16, 2018.

Ubalozi wa Marekani Montenegro washambuliwa

Ubalozi wa Marekani mjini  Podgorica   washambuliwa kwa bomu lilitengenezwa kienyeji  kwa mikono  nchini Montenegro.