Saterdag, Maart 24, 2018

Serikali yafunguka kuhusu kufungia mitandao

NA ISMAEL MOHAMED


Serikali ya awamu ya tano ya Rais Dkt. John Magufuli imekanusha taarifa ya kufungia mitandao ya kijamii kama inavyoelezwa na baadhi ya watu na kuitaka jamii kuzipuuza endapo watakutana nazo mitandaoni.
Hayo yamebainishwa na Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais- Ikulu, Gerson Msigwa asubuhi ya leo katika ukurasa wake maalumu wa kijamii na kusema taarifa hizo ni uzushi mtupu hazina ukweli wowote ambayo imetengenezwa na wahalifu wa mtandao.

Jela Miaka Minne kwa Kosa la Kumpa Mimba Binti yake

Mahakama ya Hakimu Mkazi wa Mkoa wa Tabora imemhukumu mkazi wa Manispaa ya Tabora, Sadick Masunzu (47) kifungo cha miaka minne jela baada ya kupatikana na hatia ya kumbaka binti yake mwenye umri wa miaka 16 na kumpatia ujauzito.

MAASKOFU WANENA MANENO MAZITO

Bwana wetu Yesu Kristo mfufuka, alipowatokea wanafunzi wake wakiwa wamejifungia ndani kwa hofu ya Wayahudi, aliwasalimu na kujifunua kwao kwa salaamu ya kuwatakia amani. 

Watu 27 wakamatwa kwa madai ya kuchoma kituo cha polisi

Watu 27 wanashikiliwa mkoani hapa kwa tuhuma za kuchoma moto kituo kidogo cha Polisi cha Mwandoya katika Wilaya ya Meatu na kuteketeza samani na mali zote zilizokuwa zikitumiwa na jeshi hilo.

Video Queen wa ngoma ‘Natamba’ Ya Aslay Akanusha Kutoka Nae Kimapenzi

Video Queen katika ngoma ya Aslay ‘Natamba’ amefunguka kuhusu taarifa za kutoka kimapenzi na muimbaji huyo.

MWANAFUNZI APIGWA NA RADI AFARIKI LUDEWA,


Na Maiko Luoga Ludewa.

Tukio lililotokea siku  March 20 mwaka huu la Kupigwa na Radi Wanafunzi 26 Katika Shule ya Msingi Itundu iliyopo katika Kata ya Mlangali wilayani Ludewa katika Mkoa Wa Njombe Limesababisha Kifo cha Mwanafunzi Mmoja Aliyeitwa Sophia Msemwa aliyekuwa na Umri Wa Miaka 12 Mwanafunzi Wa Darasa la Sita.

KILELE CHA MAJI, MITI YAPANDWA LUDEWA

Katikati Ni Mkuu Wa Wilaya ya Ludewa Andrea Tsere akiwa na Muhandisi wa maji Ludewa Nasib Mlenge wakwanza kulia na Katibu wa Vijana CCM Wilaya ya Ludewa Kushoto.
DC Ludewa Andrea Tsere Akipanda Mti Kandokando ya Chanzo cha Maji Mapetu.
Makamu Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Ludewa Bi.Monica Mchilo ambae pia ni Diwani wa kata ya Ludewa Akipanda mti.
Kaimu Mkurugenzi Halmashauri ya Ludewa Bw. Matenus Ndumbaro akipanda Mti.
Muhandisi wa Maji Ludewa Injinia Nasibu Mlenge Akipanda mti

Na Maiko Luoga Ludewa,

Kila Ifikapo March 22 ya Kila mwaka Tanzania Huungana Na Nchi Nyingine Kuadhimisha Siku ya Maji Duniani Ambapo kwa Mwaka huu 2018 Maadhimisho hayo yamefanyika  March 22 Katika Maeneo mbalimbali hapa nchini yakiongozwa na Kaulimbiu isemayo "Hifadhi Maji na Mfumo Wa Ikolojia kwa maendeleo ya Jamii.

ZAIDI YA WANACHAMA 320 WAJIUNGA NA UWT,CCM CHUNYA,MBEYA

Wanachama wapya wa CCM Wakila kiapo cha Uadilifu wa Chama mbele ya Mgeni Rasmi

Waziri afika eneo ilipotokea ajali ya moto wa rol


Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Dkt Mwigulu Nchemba tayari alifika eneo la tukio ambapo ilitokea ajali ya

Mwalimu Akamatwa na Polisi kwa kumkashfu Rais Magufuli

Mwalimu wa shule ya sekondari ya Nyakisasa iliyopo

Tamko La Waziri Wa Afya Ummy Mwalimu Kuelekea Maadhimisho Ya Siku Ya Kifua Kikuu Duniani Machi 24 – Leo Mjini Dodoma

Na WAMJW-Dodoma.

# Kifua Kikuu(TB) ni ugonjwa wa kuambukiza unaoongoza kwa kusababisha vifo vingi Duniani.

Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Jumamosi ya March 24

Diamond afanya mazungumzo ya siri na Basata

Msanii wa muziki, Diamond Platnumz Ijumaa hii amefanya mazungumzo ya siri na Baraza la Sanaa Taifa ‘Basata’ ikiwa ni siku chache toka aingie kwenye majibizano na Naibu Waziri wa Habari, Juliana Shonza.

Dinsdag, Maart 20, 2018

PADECO, WAFUNGUA MAISHA YA WANANCHI WA LUDEWA,NA MKOA WA NJOMBE

Katikati ni Mkurugenzi wa PADECO Bw,Wilbard Mwinuka Akiwa na Wafadhiri kutoka nchini Hispania

MWALIMU AWAPELEKA WANAFUNZI KULIMA SHAMBA LAKE LUDEWA,



Na Maiko Luoga Ludewa

Wananchi Wa Kijiji cha Mdilidili katika Kata ya Lugarawa Wilaya ya Ludewa Mkoa Wa Njombe wamelalamikia Tukio la Mwalimu Wa Kujitolea Katika Shule ya msingi Matika iliyopo katika Kijiji cha Mdilidili Kuwachukua watoto Siku ya Jumamosi March 17 Mwaka huu na kuwapeleka Shambani kwake Kulima.
Kushoto ni Naibu katibu mkuu wa UWT CCM Bara akizungumza jambo na DC,Ludewa Mh,Andrea Tsere Kulia
Na Maiko Luoga Ludewa

Naibu katibu mkuu wa Jumuiya ya wanawake wa Chama cha Mapinduzi CCM, UWT Tanzania Bara Bi, Evah Kihwele Amefanya Ziara ya Siku Mbili Tangu juzi March 18 mwaka huu wilayani ludewa katika Mkoa wa Njombe na Kuzungumza na Wanawake ambao ni Wanachama  wa UWT Wilaya ya Ludewa.

NAIBU KATIBU MKUU CCM BARA AFANYA ZIARA WILAYANI LUDEWA,

Kushoto ni Naibu katibu mkuu wa UWT CCM Bara akizungumza jambo na DC,Ludewa Mh,Andrea Tsere Kulia
Kushoto ni Katibu wa Hamasa na Chipukizi UV,CCM Mkoa wa Njombe,Bw Johnson Mgimba akiteta jambo na DC, Ludewa Mh, Andrea Tsere Aliyevaa suti Kulia,
Naibu Katibu Mkuu UWT CCM Bara akikagua Kuku katika Banda la kikundi cha Tumaini Jema
Wanakikundi Cha Tumaini Jema wakimkabidhi Zawadi Naibu katibu mkuu wa UWT Taifa Bi,Evah Kihwele
Naibu katibu Mkuu bara UWT CCM Taifa Bi,Eva Kihwele Akipokea taarifa kwa wanakikundi cha Lukolo Ludewa mjini,
Katibu wa Organization CCM Taifa UWT Bi,Riziki Kingwande, Akizungumza na wanawake wa Ludewa Mjini 
Naibu Katibu mkuu UWT, CCM Taifa akizungumza na wanawake katika Ukumbi wa ccm Ludewa mjini Leo,
Burudani za ngoma mbalimbali zikiendelea nje ya Ukumbi wa CCM Ludewa mjini katika Mkoa wa Njombe,


mubashara blog +255753121916

MOTO ULIOUWA MAJENGO YA BWENI





Na Maiko Luoga Ludewa.

Bweni la Wanafunzi Wavulana wa Kidato Cha Tano na Cha Sita katika Shule ya Sekondari Chief Kidulile iliyopo katika Kata ya Ludewa Mjini wilaya ya Ludewa Mkoa wa Njombe Limeteketea Kwa Moto Usiku wa Leo.

BWENI LAUNGUA MOTO LUDEWA






mubashara blog +255753121916

MAGAZETI YA LEO 20/3/2018