Woensdag, Mei 09, 2018

Yleez Tz ASEMA AJA KIVINGINE

Image may contain: one or more people
Msanii wa mziki wa bongo fleva Yleez Tz anaye kuja kwa kasi ya ajabu katika kundi la wanamziki chipukizi amekiambia chombo chetu cha habari cha mubashara kuwa anazidi kufanya vizuri katika sakata la utunzi wa nyimbo kwaajili ya watanzania.

 Na Yleez  Tz amesema kuwa licha ya changamoto anazo kutana nazo lakini anazimudu anaamini siku moja atakuwa kama wasanii wengine wanao kimbizana katika mziki.
mubashara blog +255753121916

Geen opmerkings nie:

Plaas 'n opmerking