Sondag, Augustus 26, 2018

Breaking: Mama Mzazi Wa Sugu Afariki Dunia

Mama mzazi wa mbunge wa Mbeya Mjini, Joseph Mbilinyi ‘Sugu’ Desderia Mbilinyi amefariki dunia leo Jumapili Agosti 26, 2018 katika Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH).

Taarifa iliyotolewa leo na uongozi wa Muhimbili imesema, Desderia alikuwa amelazwa hospitalini hapo na hali yake ilibadilika usiku wa kuamkia leo na kuhamishiwa chumba cha wagonjwa wanaohitaji uangalizi maalumu (ICU).


mubashara blog +255753121916

Geen opmerkings nie:

Plaas 'n opmerking