Woensdag, Januarie 31, 2018

VACANCY: Finance Manager



Job purpose:
Under the direction of Finance Manager or such other person as Camfed shall from time to time direct. Finance officer is responsible for the day-to-day maintenance and smooth running of an accurate and up-to-date accounting system; provide management information for planning, control and decision making; provide timely and accurate financial reports: support oistricts and other partners in financial management and record keeping.
Specific Accountabilities:
·            Donor Reports preparations support, including Co-Funds Accounting
·            Preparation Overheads Cost Analysis, including Donor Recoveries
·            Support in in preparation of financial reporting packs and annual accounts.
·            Ensuring that all financial records, including documentation are properly filed and safely stored.
·            Maintaining an accurate Fixed Asset Register and ensure are proper calculation and posting of depreciations.
·            Managing records on Gift In Kind (GIK) from community partners to the Camfed Projects
·            Review and Report on Cash Position, on weekly basis; including Cash Requests as and when required
·            Reconciling all Intercompany balances and preparation of clearing journals
·            Spending tracking against planned activities and donor budgets
·            Postings of all expenditures and incomes within Finance ERP Database (Financial Force).
·            Review of the Day to Day program and administration payment requisitions
·            Performing Weekly Petty Cash Spot Checking
·            Review as second eye on the daily Financial Journals prepared by the team
·            Managing Accruals preparation and postings
·            Managing Monthly Balance Sheets Schedules Reconciliations
·            Managing Camfed Tanzania KIVA Loans to beneficiaries
·            Administration of field advances and Petty Cash
Other Activities, as and when required:
·            Initiation of payments via Check and Online Banking Platforms
·            Managing Staff and Stakeholders Retirements to the funds sent for various activities
·            Bank and Cash Reconciliations on Monthly Basis
·            Supporting Finance Deliverables as defined from time to time
Person Specifications
Essential:
·            A degree in accounting and Finance
·            Registered with NBAA - (Certified Professional Accountant)
·            Skills in excel, Salesforce database and other accounting packages as well as Ms Office
·            Honesty and integrity
·            An eye for detail, strong quantitative skills and a flexible, proactive and problem-solving approach to work.
·            Ability to use own initiative and to work unsupervised.
·            Excellent interpersonal and communication skills.
·            Ability to work under pressure and to keep to deadlines.
Desirable:
·            Experience in Auditing and preparing year-end financial statements.
·            Relevant accountancy experience gained from working for an international NGO
Application Details
To apply for this position please send your CV and covering letter to
tanzania@camfed.org on or before Monday 27th November 2017 at 4.00\
Chrispiny kalinga blog

TAMISEMI yaagiza Shule ya Sekondari Njombe kuchunguzwa baada ya wanafunzi wote kupata 0



Naibu Waziri Ofisi ya Rais –Tamisemi, Joseph Kakunda ameagiza mkurugenzi mtendaji wa Halmashauri ya Njombe kufanya uchunguzi wa matokeo mabaya ya mtihani wa kidato cha nne katika Shule ya Sekondari Viziwi Njombe.

Mbunge aliyesimamia kiapo cha Raila Odinga Akamatwa



Mbunge wa Ruaraka Tom J Kajwang’, ambaye alisimamia “kuapishwa” kwa kiongozi wa muungano wa Nasa Raila Odinga kwenye viwanja vya Uhuru Park Jumanne amekamatwa.

Wanasheria Wamuunga Mkono Makonda Kuwasaidia Waliodhulumiwa Mali Zao

Wanasheria Wamuunga Mkono Makonda Kuwasaidia Waliodhulumiwa Mali Zao


Dhamira njema ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe. Paul Makonda kuamua kuwasaidia wanyonge walioteseka na kunyanyasika muda mrefu baada ya kudhulumiwa Mali zao walizochuma kwa Jasho imewafanya Wanasheria kuguswa na kuamua kujitokeza kusaidia jitiada hizo ili kuhakikisha haki ya mnyonge inapatikana pasipo kuvunja Sheria.

Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam, Paul Makonda akizungumza na wananchi hao.

Hii Ndio Gharama ya Passport za Kielektroniki


Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Dkt.  Mwigulu Nchemba amesema kuwa gharama mpya ya hati ya kusafiria ya

Katavi waondokana na changamoto ya umeme


na chrispin kalinga
Wakazi wa Mkoa wa Katavi wameondokana na changamoto ya ukosefu wa nishati ya umeme baada ya kukamilika kwa ujenzi wa mradi wa kufua umeme wa OLIO ambao utasambaza umeme katika maeneo mbalimbali mkoani humo.
Waziri wa nishati Dkt Medard Kareman amefanya ziara mkoani Katavi na kukagua ujenzi wa miradi ya REA na Ujenzi wa Mashine za kufua umeme mkoani humo.
“Ujenzi wa mashine mbili kubwa za kufua  mradi wa umeme kwa  asilimia miamoja,” Waziri wa Nishati Dkt Medard Karemani alisema na kuwaagiza wafanyakazi  wa Shirika la umeme nchini TANESCO kufanya kazi usiku na mchana ili kuwahudumia wananchi .

chrispiny kalinga

Rais Magufuli awataka Uhamiaji kujiamini


 

Rais John Magufuli ameitaka Idara ya Uhamiaji nchini kutambua kuwa wanalojukumu kubwa la kulinda na kutembea kifua mbele katika kutekeleza majukumu yao.
Rais Magufuli pia amewaonya watendaji wachache wanaoendekeza vitendo vya kuiharibia sifa taifa na idara na kuwataka wabadilike haraka iwezekanavyo kwani hawatabaki salama.
"Uhamiaji mjitambue mnajukumu kubwa na nyeti na mtembee kifua mbele kwani Idara yenu ni muhimu kwani yeyote anayetaka kusafiri lazima aje hapa hata mimi, CDF au Rais Shein, ila wale wachache wanaotumia vibaya dhamana hii, kama hawataki kazi wapo watanzania wengi wanatafuta kazi.." alisema rais Magufuli.
Ameyasema hayo leo, Jumatano wakati wa uzinduzi wa hati ya kusafiria ya kieletroniki, jijini Dar es Salaam, iliyohudhuriwa na viongozi mbalimbali wakiwemo Rais wa Zanzibar, Dkt Ali Shein, Makamu wa Rais, Samia Suluhu, Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa, pamoja na marais wastaafu Ali Hassan Mwinyi Pamoja na Amani Karume na mabalozi wa nchi mbalimbali.
Akizungumza na umati wa wageni na wananchi mbalimbali waliokusanyika kwenye tukio hilo, Rais Magufuli amesema, kufanikiwa kwa mradi huo ni jambo la kujipongeza kwa watanzania wote kwani ni mradi uliotekelezwa kwa fedha za wananchi na kuwasihi wananchi kuendelea kulipa kodi kwa uaminifu.
“Mradi huu utahusisha awamu nne, mradi huo umegharimu dola za Marekani milioni 57.82. sawa na shilingi bilioni 127, awali ilitakiwa kuwa Dola milioni 226 sawa na Shilingi bilioni 400, walipanga kutupiga mno ila nimshukuru Balozi wa Ireland kwa kusimama kidete na kufanikiwa kupata kampuni ya Marekani iliyochukua kazi hii kwa gharama hizo" alisema Magufuli.
Amewataka watanzania watakaobahatika kupata Paspoti hizo kuzilinda na kuitunza.
Wakati huo huo, Rais Magufuli  amemtaka Kamishna wa Uhamiaji, Dkt. Anna Makakala kutafuta eneo litakalokuwa na hadhi ya kuwa Makao Makuu ya Uhamiaji na kuwaahidi kutoa bilioni 10 kama shukrani zake kwa kufanikisha kupunguza changamoto nyingi zilizokuwa zikiikabili Idara hiyo, zikiwemo za wahamiaji haramu, utoaji hovyo wa paspoti na vibali vya ukaaji pamoja na masuala mengine yaliyokuwa yakiitia doa Idara hiyo."Najua kuna watakaokasirika, kwasababu wana vibanda vyao hapo pembeni vya kiujanja janja". Alitania rais Magufuli.
Katika uzinduzi huo viongozi kadhaa wamekabidhiwa Hati hizo leo, na kwamba utaratibu wa kubadili paspoti hizo utaendelea taratibu hadi kukamilika kwake.
Awali, Waziri wa Mambo ya Ndani, Dkt. MWIGULU Nchemba alisema, hati hizo zitasaidia kufuta makosa yaliyojitokeza ya kuwapa watu hati kwa nyaraka za kughushi pamoja na kudhibiti uhalifu wa kimtandao.wa kimtandao

chrispiny kalinga

PEMBEJEO, MBOLEA CHANGAMOTO, LUDEWA,




                                                                


wakazi wa kijiji cha ludewa mjini katika wilaya ya ludewa wanaulalamikia uongozi wa wilaya hiyo kwa madai ya kuletewa mbolea ya kukuzia mazao isiyo jitosheleza.

wakizungumza na mwandi wa habari juu ya uchache wa mbolea iliyo kuwa imeletwa katika kijiji hicho siku ya tarehe 28 mwezi huu ni mifuko mia moja na mbili tu ukilinganisha na wingi wa watu wa kijiji hicho.

hali kadhalika wananchi hao wameongeza kwa kusema kuwa licha ya mbolea hiyo kuuzwa kwa bei ya juu kwanzia sh.46000/=na wafanya biashara wengine huuza kwa sh.50000 lakini bado mbolea haitoshi na wakaiomba serikali kuongeza wingi wa mbolea katika wilaya hiyo. 

Hata hivyo mkuu wa wilaya ya ludewa mh.Andrea Tsere amesema kuwa kwanzia siku ya kesho anawataka wafanya biashara wote kuleta mbolea ya kutosha na yeye ndiye atakaye toa kibari cha bei itakayo uzwa.

 chrispiny kalinga


Hata Kama Mambo Yanakwenda Vibaya, Fanya Hivi



Hivi falsafa juu ya matumizi ya  bajeti ambayo ipo  ndani ya uwezo wako ikoje? Hili ni swali la muhimu sana ambalo kila mmoja wetu anatakiwa kujiuliza kataka maisha yake ya kila siku.

Nasema hivi kwa sababu moja kati ya tabia ya watu wengi huwa wanaishi nje ya bajeti ambayo wanakuwa wamepanga.

Hata Kama Mambo Yanakwenda Vibaya, Fanya Hivi

Ni rahisi sana kuwa na hasira, kukatishwa tamaa na hata msongo wa mawazo. Hiki ni kiu ambacho kila mtu anaweza akawa nacho kwenye maisha yake.

Hii ndio gharama ya passport za kielektroniki

Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Dkt.  Mwigulu Nchemba amesema kuwa gharama mpya ya hati ya kusafiria ya kielektroniki itakuwa Sh. 150,000.

Barnaba atoa siri kinachomuingizia mkwanja mrefu


u


STAA wa Bongo Fleva mwenye sauti ya kipekee, Elias Barnaba amesema kuwa kitendo cha kuwatungia mastaa ngoma zao hasa wa kike kimemfanya kutengeneza mkwanja mrefu.

Shamsa apigwa stop kutumia Mitandao ya kijamii na mumewe


STAA wa filamu za Kibongo, Shamsa Ford anadaiwa kupigwa stop kutumia mitandao ya kijamii na mumewe, Chid Mapenzi na kwa muda sasa haonekani hasa kwenye mtandao wa kijamii wa Instagram ambako aliwaaga kabisa mashabiki zake.

Madee azungumzia bifu lake na Roma


BAADA ya kukaa kimya kwa muda mrefu, hitmaker wa Ngoma ya Sema, Hamadi Ally ‘Madee’ hatimaye amefungukia kile kinachodaiwa kuwa ni bifu zito lililopo kati yake na msanii mwenzake, Ibrahim Musa ‘Roma Mkatoliki’.

Akipiga stori na Risasi Vibes, Madee alisema suala la uwepo wa bifu kati yake na Roma ni hisia tu zinazo-zushwa na mashabiki kutokana na vijembe wanavyo-tupiana na msanii huyo ambaye kimsingi ni mtani wake.

“Roma ni mtani wangu, mara nyingi huwa kuna masihara kati yangu na yeye, hata familia yake kwa ujumla, vile vijembe ambavyo huwa tunatupiana ule huwa ni utani tu hakuna uhalisia wowote, hatuna bifu kati yetu,” alisema Madee


chrispiny kalinga

Tanesco yapewa agizo



NAIBU Waziri wa Nishati, Subira Mgalu amelitaka Shirika la Umeme (Tanesco) mkoa wa Kilimanjaro kuweka mkandarasi wa kusimamia miradi ya umeme vijijini kila wilaya, ili ikamilike kwa wakati ifikapo Aprili, mwakani.

Jafo atoa agizo madarasa ya nyasi, udongo



SERIKALI imewaagiza wakuu wa wilaya na wakurugenzi wa halmashauri nchini kuhakikisha wanaondoa madarasa ya tembe, nyasi na udongo kwenye maeneo yao.

Marufuku michango ya Elimu yazua mjadala kwa Viongozi


UAMUZI wa Rais John Magufuli kupiga marufuku michango ya elimu katika shule za msingi na sekondari, umezua mjadala katika kikao cha Baraza la Madiwani wa Halmashauri ya Kahama mkoani Shinyanga.

Kijiji chavamiwa na kundi kubwa la Fisi



WANANCHI wa Kata ya Inyeze wilayani Kahama mkoani Shinyanga wamelalamika kwa diwani wa kata hiyo kwa kuvamiwa na kundi kubwa la fisi  kijijini.

Viongozi wengine waliowahi kuapishwa na kujitangaza kuwa marais kama Odinga barani Afrika

 Kiongozi wa upinzani nchini Kenya Raila Odinga Jumanne aliapishwa kuwa 'rais wa wananchi' nchini humo baada ya kusema hatambui ushindi wa Rais Uhuru Kenyatta katika uchaguzi wa marudio uliofanyika nchini humo Oktoba mwaka jana.

Mgombea mwenza wake Kalonzo Musyoka wa chama cha Wiper hakujitokeza kwa sherehe hiyo ya kuapishwa, ingawa alikuwa miongoni mwa waliotarajiwa kuapishwa.

Waziri mkuu huyo wa zamani hayuko peke yake katika kujaribu kujitangaza marais, kukiwa bado kuna rais mwingine madarakani.

Wengine ni akina nani?
Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo Etienne Tshisekedi, Nigeria Moshod Abiola, Uganda Kiza Besigye na Jean Ping wa Gabon ni miongoni mwa viongozi wa upinzani wa Afrika ambao wamejaribu kujitangaza kuwa marais, na sasa Raila Odinga amejiunga na orodha hii.

Etienne Tshisekedi

Nyumba ya kiongozi wa upinzani yapigwa bomu


Makamu wa Rais wa zamani wa Kenya ambaye sasa ni kiongozi mwenza wa NASA, Stephen Kalonzo Musyoka nyumba yake imepigwa bomu usiku wa kuamkia leo katika eneo la Karen, Nairobi Kenya na watu wasiojulikana.

Waliovua nguo kortini jela miezi 6


Washtakiwa 24 kati ya 61 wanaokabiliwa na kesi za ugaidi jijini hapa wamehukumiwa kifungo cha miezi sita jela kwa kosa la kuvua nguo, kisha kugoma kuingia ndani ya chumba cha mahakama kusikiliza kesi zao.

Watanzania Mil 25 wadaiwa kukosa msaada wa sheria


 
Wananchi zaidi ya milioni 25 nchini Tanzania wamedaiwa kuwa hawapati huduma za kimahakama kutokana na upungufu wa majengo ya mahakama na uhaba wa watumishi hususani kwenye mahakama za mwanzo.

Takwimu hiyo imebainika hapo jana  katika uzinduzi wa Mahakama ya Wilaya Bagamoyo wakati Jaji Mkuu wa

Wanawake wawili kuuawa kwa kukatwa mapanga kutokana na imani za kishirikina.


Watu watatu wameuawa katika matukio tofauti likiwamo la wanawake wawili kuuawa kwa kukatwa mapanga kutokana na imani za kishirikina.

Rais Magufuli Atoa Maagizo Mazito kwa Kamishina wa Uhamiaji


 Rais John Magufuli ameitaka Idara ya Uhamiaji kuhakikisha inapambana na wahamiaji haramu pasipo kumwogopa mtu.

NATIONAL EXAMINATIONS COUNCIL OF TANZANIA CSEE 2017 EXAMINATION RESULTS ENQUIRIES --- INDEX - K



CLICK ANY LETTER BELOW TO FILTER CENTRES BY ALPHABET



BIZARI: Kiungo Cha Mboga Chenye Faida Nyingi


Inawezekana katika maisha yako hujawahi kula mboga iliyowekwa kiungo kinachoitwa bizari, kama umewahi, inawezekana pia hujawahi kujua faida zake mwilini.

Bizari (Turmeric) ni kiungo cha mboga jamii ya mimea unaochimbwa kama mizizi, mfano wa tangawizi, lakini tangawizi yenyewe ina rangi ya njano na hujulikana pia kama ‘manjano’ kutokana na rangi yake.

Je wajua waweza kupata faida nyingi toka kwa nyuki?


Kufuga nyuki na kuzalisha asali kwa mtindo wa kisasa kwa kujenga nyumba ya nyuki inamwezesha mfugaji kuongeza uzalishaji pamoja na kipato.

 Chumba cha nyuki 1Ufugaji wa nyuki ni kazi ambayo imekuwepo na kudumu kwa karne nyingi sana. Shughuli ya ufugaji wa nyuki nchini Tanzania hasa katika mkoa wa Tabora ambao ni maarufu kwa uzalishaji wa asali, ilianza kutambulika rasmi tangu mwaka 1884, wakoloni kama vile Rebman na Craft walipofika katika eneo hilo.

Fahamu Jinsi ya kutoa huduma ya kwanza


Tumewapoteza ndugu zetu wengi sana au rafiki zetu au jamaa zetu wengi kwa sababu ya mshtuko(Shock) iliyosababisha kifo chao. Hii ni kwa sababu watu wengi hawajui jinsi ya kumsaidia mtu mwenye mshtuko kabla ya kumpeleka hospitali. Leo nakuletea makala inayokufundisha hatua zote za kufanya ili kumsaidia mtu mwenye mshtuko. Naomba uwe na mimi mpaka mwisho wa makala hii.  

Jipatie Kipato Kwa Biashara Ya Maua

Kumekuwa na manunguniko kati ya watu wengi wakiwaza watatumia njia gani kutengeneza fedha, napenda kukupa elimu na mbinu za kujipatia na kujiongezea kipato kwa njia ya uuzaji wa maua.

Hakuna mtu asiyependa ma maua, maua hutumika kama kivutio kikubwa cha maeneo mbalimbali ,kila nyumba utakayo itembelea utakutaua ndani ya nyumba au nje ya nyumba,kila sherehe au kumbi za mikutano utakuta maua hii ni ishara tosha kuwa maua ni mhimu na yanahitajika.

NI NINI MAANA YA MAPENZI

Katika kuongelea suala zima la mapenzi ni vigumu kujua maana halisi ya mapenzi kwa maana halisi ya mapenzi ni kutokana na mtu mwenyewe anavyoona.

Lakini kwa ujumla mapenzi ni ile hali ambayo watu wawili wanaingia katika mahusiano ambayo yanabeba mambo mengi iliwemo uvumilivu,kuchukuliana katika mambo yote yanayo husu maisha kwa ujumla.

MSINGI HASA WA MAPENZI 

Fursa 150 za Biashara na Miradi Mbalimbali Nchini Tanzania


1. Kununua Mashine za kukoroga zege na kukodisha.
2. Kununua Mashine za kukata vyuma na kuzikodisha.
3. Kutengeneza na kuuza tofali
4. Ufundi, Website updating/Database: Katika Halmashauri, Manispaa, Mashule, Wizara, Wilaya na           Makampuni mbalimbali.
5.  Kuanzisha kituo cha redio na televisheni
6. Kufunga na kutengeneza vifaa mbalimbali vya electroniki na mawasiliano mfano; compyuta na vifaa       vya compyuta na mawasiliano.
7. Kuuza software; mfano Antivirus, Operating Systems, Pastel, Tally, Myob, n.k
8. Kushona na kuuza nguo.
9. Kufungua Duka la kuuza nguo mpya; suit, socks, batiki, nguo za asili, Mashuka, Mashati, Suruali,
10. Ufugaji wa mifugo mbalimbali mfano Kondoo, Mbuzi, Ng’ombe, Kuku, Bata, na wengine.
11. Kufungua stationery, kuuza (supply) vitabu na vifaa mbalimbali ktk mashule na vyuo.
12. Kutoa ushauri mbalimbali wa Kitaalamu.
13. Kuuza viazi, mahindi, mihogo, kutengeneza popcorn na kuziuza.
14. Kusajili namba za simu na kuuza vocha
15. Kuwa na mradi wa Pikipiki zisizotumia mafuta na zinazotumia mafuta
16. Kilimo cha mazao mbalimbali kulingana na hali ya hewa ya sehemu husika.
17. Kuuza Mitumba
18. Kusimamia miradi mbalimbali
19. Kufungua duka la kuuza mitambo mbalimbali
20. Kufungua banda la chakula na chips
21. Kukodisha turubai viti na meza
22. Kufungua Supermarket
23. Kufungua Saluni
24. Kufungua Bucha
25. Video Shooting & Editing.
26. Kufungua Internet cafe
27. Duka la kuuza matunda
28. Kufungua duka la kuuza vifaa vya simu za mkononi na landline.
29. Kufungua duka la vifaa vya ujenzi; cement, vifaa vya umeme, duka la mabati
30. Kutengeneza michoro mbalimbali ya majumba na miradi ya ICT
31. Kuchapa vitabu, bronchures, n.k
32. Kuanzisha kampuni ya ujenzi (Building contractor)
33. Kuuza Vifaa vya umeme wa nishati ya jua (solar) ,battery, inverter na vifaa vingine vya solar n.k
34. Kuuza maji kwa jumla na rejaleja.
35. Kutengeneza na kuuza Unga wa lishe bora.
36. Kukodisha Music
37. Kuanzisha Mradi wa Taxi
38. Kuanzisha mradi wa Daladala
39. Kuuza vifaa vya Kompyuta, laptops, converters, HDDs, Monitors, Softwares, CD Copiers na vifaa           vingine.
40. Kununua magenerator na kukodisha
41. Kufungua kampuni ya kutoa huduma za simu
42. Kufungua kampuni ya kutoa huduma za internet (ISP)
43. Kuuza mabati na vigae
44. Kujenga apartments
45. Kufungua Kisima cha mafuta ya taa au mafuta ya aina zote
46. Kufungua Duka la samaki
47. Kufungua Duka la nafaka
48. Kufungua Shule za Awali, Shule za Msingi, Sekondari na Vyuo.
49. Kujenga hostel
50. Kuuza vocha na ving’amuzi vya DStv, Zuku, Startimes, Easy TV, TNG, Digitech, Continental.
51. Kujenga mtambo wa kuzalisha umeme na kuuza katika viwanda na wananchi.
52. Ufundi simu
53. Kufungua Hospitali, Zahanati.
54. Maabara ya Macho, Meno
55. Kuchimba/Kuuza Madini
56. Kufungua ofisi ya kutoa huduma ya simu na fax
57. Kuuza miti na mbao
58. Kufungua Grocery, bar
59. Kufungua studio ya kupiga na kusafisha picha
60. Kucharge simu/battery
61. Duka la TV na vifaa vingine
62. Kuanzisha biashara ya kuuza vyakula katika sherehe na tamasha mbalimbali (catering).
63. Banda la kupigisha simu
64. Kuuza na kushona Uniform za shule
65. Kuanzisha duka la kuuza vitu kwa jumla.
66. Kufungua gereji za kutengeneza bajaji, pikipiki na magari
67. Kuuza vyuma, pembejeo, rake, jembe
68. Kuuza fanicha
69. Kufungua sehemu ya kuziba pancha za matairi
       ya magari na mitambo.
70. Kujenga nyumba za kulala wageni (hotel)
71. Kuagiza na kuuza vifaa vya aluminium.
72. Kuuza vioo
73. Kushona na kukodisha nguo za harusi
74. Kufungua yard kwa ajili ya kuosha magari
75. Kuuza mashine za kuchomelea (welding machine).
76. Kuuza vifaa vya kuvaa Site (boots, helmets etc)
77. Kununua mabasi kwa ajili ya kusafirisha wanafunzi
78. Kufungua studio ya kutengeneza vipindi vya redio na televisheni
79. Kuanzisha ofisi ya michezo ya televisheni (TV Games)
80. Kufungua benki
81. Kuwa na malori ya kubeba kokoto na mchanga
82. Kuuza vifaa mfano TV, CCTV Camera, n.k
83. Kuwa dalali wa vitu mbalimbali
84. Kuanzisha mradi wa kukodisha fork lift na winchi (crane)
85. Kuanzisha kiwanda cha kutengeneza viatu.
86. Kuanzisha viwanda mbalimbali
87. Duka la vifaa vya simu na gadgets mbalimbali zinazoendana na mawasiliano ya Vodacom, TTCL,          AIRTEL, TIGO, ZANTEL, n.k.
88. Kujenga Ukumbi wa kukodisha kwa sherehe, mikutano mbalimbali
89. Kununua matrekta, mitambo ya ujenzi wa barabara na kukodisha
90. Kutengeneza antenna na kuuza
91. Kufungua mradi wa Machine za kusafisha, kutoboa na kuchana mbao
92. Kufungua mradi wa kuuza vifaa vya Umeme wa kutumia upepo
93. Biashara ya kuagiza magari
94. Kufanya biashara za Jukebox
95. Kukodisha matenki ya maji
96. Kufungua duka la kuuza Asali
97. Kutengeneza Mikokoteni/ matoroli na kuikodisha
98. Kufungua Duka la vinyago, batiki
99. Kuanzisha huduma ya AIRTEL MONEY, MPESA, TIGOPESA, EZY PESA
100. Kuanzisha sehemu ya kufanyia mazoezi (Gym).
101. Kununua na kuuza vifaa vya kupima ardhi.
102. Kufungua duka la kuuza dawa (pharmacy).
103. Kufungua Kampuni ya Ulinzi
104. Kufungua kampuni ya "Clearing and fowarding"
105. Kuchezesha vikaragosi
106. Kuuza spea za bajaji, magari na pikipiki
107. Kuuza baiskeli
108. Kuuza magodoro
109. Kuuza vyombo mbalimbali kwa ajili ya matumizi ya nyumbani mfano bakuli, sahani, vikombe,                 vijiko,
110. Kuuza marumaru (limestones)
111. Kuuza kokoto
112. Kuuza mchanga
113. Kufundisha Tuisheni
114. Biashara za bima
115. Kampuni ya kusafirisha abiria kwa njia ya anga (ndege)
116. Biashara za kitalii
117. Biashara za meli na maboti.
118. Kampuni ya kuchimba visima
119. Kufungua ofisi ya wakili/mawakili wa kujitegemea
120. Kuuza mkaa
121. Kutengeneza mashine za kutengeneza tofali
122. Kampuni ya kupima ardhi
123. Kampuni ya magazeti
124. Kuchapa (printing) magazeti
125. Kuuza magazeti
126. Kuchimba mafuta
127. Kiwanda cha kutengeneza mabati
128. Kiwanda cha kutengeneza fanicha
129. Kiwanda cha kutengeneza matairi
130. Kutengeneza vitanda vya chuma
131. Kununua nyumba katika Maghorofa (Apartments) na kuzikodisha.
132. Kukodisha makapeti
133. Kupamba maharusi na kumbi za harusi/sherehe.
134. Mashine ya kusaga na kukoboa nafaka.
135. Kazi ya ususi na kusafisha kucha.
136. Kuuza Gypsum
137. Malori ya kubeba mafuta na Mizigo
138. Duka la kuuza mboga za majani
139. Duka la kuuza maua.
140. Kampuni ya kuzoa takataka
141. Kampuni ya kuuza magari
142. Kuuza viwanja
143. Uvuvi
144. Kutengeneza na kuuza nguzo za kujengea fensi
145. Uchoraji wa mabango.
146. Duka la kuuza silaha
147. Ukumbi wa kuonesha mpira
148. Biashara ya mlm (network marketing)
149. Yadi kwa ajili ya kupaki magari
150. Mradi wa trekta za
chrispiny kalinga