Woensdag, Januarie 31, 2018

Katavi waondokana na changamoto ya umeme


na chrispin kalinga
Wakazi wa Mkoa wa Katavi wameondokana na changamoto ya ukosefu wa nishati ya umeme baada ya kukamilika kwa ujenzi wa mradi wa kufua umeme wa OLIO ambao utasambaza umeme katika maeneo mbalimbali mkoani humo.
Waziri wa nishati Dkt Medard Kareman amefanya ziara mkoani Katavi na kukagua ujenzi wa miradi ya REA na Ujenzi wa Mashine za kufua umeme mkoani humo.
“Ujenzi wa mashine mbili kubwa za kufua  mradi wa umeme kwa  asilimia miamoja,” Waziri wa Nishati Dkt Medard Karemani alisema na kuwaagiza wafanyakazi  wa Shirika la umeme nchini TANESCO kufanya kazi usiku na mchana ili kuwahudumia wananchi .

chrispiny kalinga

Geen opmerkings nie:

Plaas 'n opmerking