Woensdag, Augustus 29, 2018

Sababu na dalili za Kuharibika kwa Mimba

Sababu na dalili za Kuharibika kwa Mimba - Sehemu ya Kwanza
kutana na suruhisho lako kwa njia ya mtandao kwa masharti nafuuu juu ya mambo ya uzazi na mambo yote ya Afya ya binadamu kwa ushauri nasaha  Sambamba na hilo ushauri wa ndoa na namna ya kumtambua mwenzi wa kweli lakini pia unaweza kuwasiliana nami kwa ufafanuzi zaidi kwa kupiga simu nambari 0753121916 utaongea moja kwa moja na Prof:Chrispin Kalinga kuwa huru masaa 24
Utangulizi
Kuharibu/kuharibika kwa mimba kwa njia ya kutoa kiinitete (embryo) au mjusi (fetus) kabla ya kutimiza umri wa kuweza kuishi nje ya mfuko wa kizazi hujulikana kama abortion 1. Mimba inapoharibika yenyewe kabla ya kutimia umri wa

Maandag, Augustus 27, 2018

BREAKING: Lugola Amsweka Ndani Mkuu Wa Kituo Kikuu Polisi Mtwara Kwa Kushindwa Kuwaweka Watuhumiwa Mahabusu

Waziri wa Mambo ya Ndani, Kangi Lugola amemweka ndani Mkuu wa Kituo Kikuu cha Polisi mjini Mtwara (OCS), Ibrahim Mhando  kwa kushindwa kuwaweka mahabusu watuhumiwa wanne.

Mkurugenzi Wa Kituo Cha Uwekezaji TIC Akemea Tabia Ya Baadhi Ya Viongozi Wa Serikali Kutoa Matamko Na Kuwakamata Hovyo Wawekezaji Nchini

Mkurugenzi  Mtendaji wa Kituo cha Uwekezaji Tanzania(TIC) Godfrey Mwambe amewataka viongozi wa ngazi mbalimbali wakiwamo wakuu wa wilaya,wakuu wa mikoa na mawaziri kuacha kutoa matamko na maagizo kwa wawekezaji nchini.

Sondag, Augustus 26, 2018

BASATA watoa NENO kuhusu afya ya Ommy Dimpoz

Baraza la Sanaa Taifa (BASATA) halijakaa kimya kipindi hiki ambacho msanii wa Bongo Fleva  Ommy Dimpoz anaumwa.

Swali la Mwananchi lasababisha RC Mbeya kujivua uenyekiti wake wa CCM Iringa

Mkuu wa Mkoa wa Mbeya, Albert Chalamila amesema ameachia uenyekiti wa CCM Mkoa wa Iringa kwa maelezo kuwa ameambiwa achague nafasi moja.

TRA Yaendelea Kutoa Elimu Ya Msamaha Wa Riba Na Adhabu Ya Malimbikizo Ya Kodi

Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) inaendelea kutoa elimu juu ya namna ya kuomba msamaha wa riba na adhabu ya malimbikizo ya madeni ya kodi kwa wafanyabiashara na wadau mbalimbali nchini.

Breaking: Mama Mzazi Wa Sugu Afariki Dunia

Mama mzazi wa mbunge wa Mbeya Mjini, Joseph Mbilinyi ‘Sugu’ Desderia Mbilinyi amefariki dunia leo Jumapili Agosti 26, 2018 katika Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH).

CHADEMA, ACT Wazalendo Wasusia Uchaguzi wa Marudio Tanga

Vyama vya CHADEMA, ACT Wazalendo na NCCR Mageuzi vimetangaza kugomea kushiriki uchaguzi wa udiwani katika Kata ya Mwanzage jijini Tanga kwa kile walichoeleza ni kuwepo kwa zuio la mahakama juu ya uchaguzi huo.

Njia ya kupanga uzazi kwa kutumia Kalenda/ Kuzuia Mimba Kwa Njia ya Kalenda


Kutana na mimi Chrispin Kalinga kwa msaada zaidi ili siku ukutanapo na mwenzi wako usipate mimba kwa matumizi sahihi ya karenda lakini pia kama unawasiwasi na siku ya kupata mimba nitafute kwa mashart nafuu kwa msaada zaidi nipigie sim au tuma ujumbe mfupi wa maandi kwa simu: 0753121916
ndani ya masaa 24 kuwa huru nipo kwaajili yako......
Hii ni njia ambayo mwanamke anaweza kutumia kupanga uzazi bila kutumia dawa au kitu cha aina yoyote.

Mpinzani wa Obama kwenye urais afariki Dunia


SENETA John McCain, shujaa wa vita vya Vietnam aliyehudumu kwa muda mrefu kama seneta nchini Marekani na aliyewahi kuwania urais, amefariki dunia akiwa na miaka 81.

Muro afanya ziara ya kushtukiza, abaini raia tisa wa kigeni wasio na vibali


Mkuu wa wilaya ya Arumeru Jerry Muro amefanya ziara ya kushtukiza  katika barabara ya mchepuko Arusha Bypass katika eneo la muungano Makumira  na kubaini uwepo wa vitendo vinavyoashiria ukiukwaji wa taratibu za kazi na haswa katika kazi zinazofanywa na raia kutoka nje.

Mbosso afichua uhusiano wa wimbo wake na kuachwa kwa Diamond na Zari


Msanii wa muziki Bongo, Mbosso amesema si kweli kwamba wimbo wake unaokwenda kwa jina la Nimekuzoea alimuimbia Diamond Platnumz baada ya kuachwa na mzazi mwenzie, Zari The Bosslady.

Saterdag, Augustus 25, 2018

JIFUNZE NAMNA YA KUTUMIA KUEPUKA KUPATA MIMBA AU KUSABABISHA MIMBA

Image result for LOVE
Kwa msaada zaidi au kama hujaelewa unauwezo wa kunitafuta kwa sim nambari:0753121916 kwa mashart nafuu.usiogope masaa 24 nipo kwaajili yako 

Tumia Chandurua kwa kumlinda Mama na Mtoto.
By chrispin kalinga.,,,,,

Kuna njia kuu tatu za asili ili kupanga namna ya kupata mtoto au kutopata:-

JINSI AMBAVYO UNAWEZA KUTUNZA PENZI LAKO KWA MWENZI WAKO


ASANTE
Wiki iliyopita tulijifunza namna ambavyo unaweza kuanzisha mahusiano na mtu yeyote unaye mpenda....mimi naitwa chrispin kalinga ambaye nakusogezea kila wiki lakini unayo nafasi ya kunitafuta kwa simu yangu ya mkononi :0753121916

Mbosso Akabidhiwa Hati ya Mjengo

Msanii wa muziki kutoka label ya WCB, Mbosso amefunguka kuzungumzia nyumba ambazo walijengewa na Mkubwa Fella wakati yupo Yamoto Band. Nyumba hizo ni nne za wasanii wote ambao walikuwa Yamoto Band zipo Mbande Kisewe, Chamazi jijini Dar es salaam.

Zitto awajia juu wanaoponda muonekano wa wahudumu wa ATCL

Mbunge wa Kigoma Mjini kupitia tiketi ya ACT Wazalendo, Mhe. Zitto Kabwe amekerwa na Watanzania wanaoponda muonekano wa wahudumu wa kike wa shirika la ndege la Tanzania (ATCL).

NEC yatangaza uchaguzi mdogo jimbo la Liwale

Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imetangaza uchaguzi mdogo wa Jimbo la Liwale, Lindi kufutia kujiuzulu kwa alieyekuwa Mbunge wake kwa tiketi ya Chama cha Wananchi (CUF), Zuberi Mohamed Kuchauka.

Hali ya Waziri wa Maliasili na Utalii hii hapa

Hali  ya Waziri wa Maliasili na Utalii, Dk. Hamisi Kigwangalla, aliyelazwa katika Taasisi ya Tiba ya Mifupa (MOI), inazidi kuimarika na juzi alifanya mazoezi ya kutembea umbali wa kilometa nne kwa kutumia saa moja na dakika 23.

Hali ya Ommy Dimpoz ni mbaya, arudishwa hospitalini Afrika Kusini

Msanii wa Bongo Fleva, Omar Faraji Nyembo ‘Ommy Dimpoz’ amerudishwa nchini Afrika Kusini ‘Sauzi’ kwa ajili ya matibabu baada ya hali yake kuendelea kutokuwa vizuri licha kutolewa hospitalini huko siku chache zilizopita.

Donderdag, Augustus 23, 2018

Mabasi ya Shule Yagongana Jijini Mwanza Na Kuua Mmoja

Basi la shule ya msingi Kivulini na la shule ya msingi Nyamuge yamegongana leo asubuhi na kusababisha kifo cha mtu mmoja.

Donderdag, Augustus 16, 2018

Wanaume  wanao  jihusisha  na  upigaji  wa  punyeto  kwa  muda  mrefu  husalia  kuwa  na  maumbile  ya  kiume  yaliyo  sinyaa  na  kudumaa.

Lugola Atangaza Kiama kwa Polisi Wala Rushwa

Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Kangi Lugola, amesema hatawaonea huruma polisi watakaokamatwa wakichukua rushwa na wale wanaonyanyasa wenye magari, bodaboda na wananchi.

Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Aamuru Wananchi wa Kijiji Kizima Wakamatwe na Kuwekwa Ndani.....RPC Mbeya Tayari Keshatuma Polisi

Mkuu wa Mkoa wa Mbeya, Albert Chalamila, ameliagiza Jeshi la Polisi kuwakamata na kuwasweka ndani wananchi wote wa Kijiji cha Ngole kilichopo Kata ya Ilungu wilayani Mbeya kwa kosa la kuharibu mradi wa maji wa kijiji jirani cha Msheye.

Waziri Mkuu Aagiza Kukamatwa Kwa Mtendaji....Ni baada ya upotevu wa sh milioni 141 za kijiji

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amemuagiza Kamanda wa TAKUKURU wa wilaya ya Igunga mkoani Tabora, Bw. Francis Zuakuu kumkamata aliyekuwa Mtendaji wa Kijiji cha Bulagamilwa, Bw. Ntemi James kwa tuhuma za kuhusika na upotevu wa sh. milioni 141 za kijiji hicho.

GP Sirro: Yule Mwandishi wa Habari Alipigwa Kwa Sababu Alifanya Fujo....Upelelezi Unaendelea na Haki Itatendeka

Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini IGP Simon Sirro amesema kuwa Mwandishi wa habari aliyepigwa na polisi wakati akitekeleza majukumu yake katika Uwanja wa Taifa ulioko jijini Dar es Slaam alikuwa mbishi na alimkaba Askari polisi akitaka kuingia sehemu ambayo imekataliwa kuingia, ndipo askari wakawa na hasira na kuanza kuvutana ndipo ugomvi Ukaanza.

Sondag, Augustus 12, 2018

Dalili Za Mimba Kutunga Nje Ya Mji Wa Uzazi








HILI ni tatizo ambalo linawaathiri wanawake wengi. Kwa kawaida, mimba zinazotungwa nje ya mfuko wa uzazi hazina uwezo wa kukua kuwa mtoto kamili. Mimba hizi ni hatari kwa afya ya mjamzito kwa vile humfanya kupoteza damu nyingi na hatimaye kusababisha kifo asipowahi kutibiwa. Katika mfumo wa uzazi wa mwanamke, kuna sehemu nyingi ambazo kila moja ina umuhimu wake.

Tatizo la Kutokwa na Uchafu Ukeni (Vaginosis)

LEO tutazungumzia tatizo linalowasumbua wanawake wengi, tatizo la kutokwa na uchafu unaotoa harufu mbaya sehemu za siri.

Lugola Aagiza Polisi Kuwakamata Waliofanya Ufisadi Sekta Ya Michezo


Na Felix Mwagara, MOHA
 
WAZIRI wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Kangi Lugola amemtaka Mkuu wa Polisi wa Wilaya ya Bunda kuwakamata watu walioshiriki kuwatapeli wananchi katika Sekta ya michezo wilayani humo, Mkoa wa Mara.

Saterdag, Augustus 11, 2018

KIPINDI CHA USIKU WA MAHABA NA CHRISPIN KALINGA HIKI HAPA

































mubashara blog

+255753121916

CHRISPINY KALINGA AACHIA WIMBO WA NDOA RASMI

































mubashara blog

+255753121916

Yleez akirap kwenye background beat BEST FM (P2), Wadai anastahili Tuzo.

































mubashara blog

akliwa na kiboko cha madanga

+255753121916

AUDIO MPYA YLEEZ FT. JABIR_' USIKONDE ' HII HAPA

































mubashara blog

+255753121916

JINSI AMBAVYO UNAWEZA KUANZISHA MAHUSIANO YA KIMAPENZI NA MTU YEYOTE UNAYE MPENDA. MAFUNDISHO HAYA NAKUSOGEZEA WAKO


CHRISPINY KALINGA
Twende sambamba……..

Unaweza kushangaa lakini ndio ukweli wenyewe kwamba upo uwezekano mkubwa kabisa wa kuanzisha na kuendeleza mahusiano na mtu yeyote Yule bila kujali mwonekano wake wala  tabia yake Katika mafundisho haya ambayo nakusogezea wewe msikilizaji na msomaji wangu ninaeleza kanuni za kimaumbile zinazoongoza mahusiano ya watu wawili ambao mara nyingi watu hao hukutana kwa njia ya bahatinasibu…

YLEEZ " KUTOKA NJOMBE AACHIA WIMBO WAKE ''USIKONDE''


Msanii wa muziki wa Bongo Freva  Hip Hop ajulikanaye kwa jina  YLEEZ  Kutoka Mkoani Njombe amekutana na Mubashara blog na kuzungumzia kazi yake ambayo anaichai siku ya leo inayo kwenda kwa jina la  USIKONDE.

Donderdag, Augustus 09, 2018

Rais Museveni Awasili Dar Es Salaam Kwa Ziara Ya Kikazi Ya Siku Moja Nchini

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimpokea mgeni wake Rais Yoweri Kaguta Museveni wa Uganda katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere alipowasili nchini kwa ziara ya kikazi ya siku moja leo Agosti 9, 2018

Rich Mavoko ashinda kesi ya kujiengua WCB

 Msanii Rich Mavoko ameshinda kesi ya kujiengua katika Lebo ya Wasafi Classic Baby (WCB). Kesi hiyo ilikuwa ikisikilizwa katika Ofisi za Baraza la Sanaa Tanzania (Basata).

RC Geita amewataka watumishi waishi kisasa kama Ndege ya Dreamliner


Na James Timber, Mwanza

Kutokuwepo posho za watumishi wa serikali isiwe kikwazo cha kushindwa kufanya shughuli za kimaendeleo katika jamii kwani mtu mzalendo lazima ajitoe mhanga na aishi kisasa kama Ndege ya Dreamliner.

Diamond Platnumz, Ang'ang'ania Kubeba Jeneza la Mzee Majuto

































mubashara blog

+255753121916

Mbunge Ester Matiko, Mwandishi wa Tanzania Daima na Wafuasi wa CHADEMA Waachiwa Baada ya Kukamatwa jana na Polisi

Mbunge wa Tarime Mjini,  Ester Matiko, mwandishi wa gazeti la Tanzania Daima Sitta Tuma na wafuasi wengine 14 wa Chadema waliokuwa wamekamatwa na polisi kwa tuhuma za kufanya mkutano usio halali wameachiwa. Hata hivyo, wametakiwa kuripoti polisi kesho.

Rais Magufuli Ashindwa Kujizuia na Kumwaga Machozi Akimuaga Mzee Majuto

Rais  wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Magufuli ameshindwa kujizuia na kujikuta akimwaga machozi wakati alipokuwa akiaga mwili wa aliyekuwa msanii nguli wa vichekesho nchini, Amri Athumani ‘Mzee Majuto’ katika Ukumbi wa Karimjee jijini Dar es Salaam leo Agosti 9, 2018.

Woensdag, Augustus 08, 2018

Mwanafunzi miaka 8 abakwa asababishiwa ugonjwa



Mwanafunzi (8) wa darasa la kwanza wa shule ya msingi Maganjwa Wilayani Babati, Manyara (jina linahifadhiwa) amebakwa na mkazi wa Kijiji hicho na kuharibiwa vibaya sehemu zake za siri hali iliyomsababishi ugonjwa wa Fistula.

Waziri agoma kuwasha umeme, mkandarasi nae matatani



Wananchi mkoani Rukwa wamelalamikia kasi ndogo, inayofanywa na mkandarasi wa kusambaza umeme wa mradi wa umeme vijijini wa REA, ambapo kati ya vijiji 142 vilivyopangwa kupitiwa na umeme huo kwa awamu ya tatu, ni vijiji saba tu vilivyofikiwa hadi sasa na kwa wateja wasiozidi kumi tu.

Nay Wa Mitego - Mwaka Wa Roho Mbaya (Official Video) hii hapa

































mubashara blog

+255753121916

CCM Yalalamika Siri za Serikali Kuvuja

Mwenyekiti  wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Mwanza, Dk. Antony Dialo amesema miongoni mwa matatizo ambayo watumishi wengi wanaostaafu au kuondolewa katika nafasi wanazoteuliwa na Rais ni kukiuka kiapo chao cha kutunza siri.

Nay wa Mitego aachia ngoma mpya ‘Mwaka wa Roho Mbaya’

Rapa Ney wa Mitego ameachia video ya wimbo wake mpya wa ‘Mwaka wa Roho Mbaya’ ambapo kwenye mashairi ya wimbo huo kafunguka mambo kibao ikiwemo Baraza la Sanaa Taifa (BASATA).

Walinzi Wauana kwa Risasi kisa deni la Sh. 30,000

Mlinzi  wa kampuni ya Lake Security, ameuawa kwa kupigwa risasi tumboni na mlinzi mwenzake baada ya kuzuka ugomvi kati yao wa kudaiana Sh. 30,000.

WCB yawapatia magari wasanii wake Lavalava na Mbosso

WCB yawanunulia magari wasanii wake, Mbosso na Lavalava hii ni mara baada ya Diamond Platnumz kuposti video clip kwenye Insta Story yake na kuonesha magari hayo hapo jana siku ya Jumanne.

NEC Yaijibu CHADEMA Kuhusu Uchaguzi Mdogo Jimbo La Buyungu




Hussein Makame-NEC
Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Dkt. Athumani Kihamia amesema Msimamizi wa Uchaguzi wa Jimbo la Buyungu ataendelea kutekeleza majukumu yake kwa kuwa malalamiko yaliyotolewa na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) ya kumkataa msimamizi huyo hayakufuata taratibu za kisheria.

Dinsdag, Augustus 07, 2018

Benki kuwakopesha wavuvi zana



BENKI ya Wananchi Tandahimba (Tacoba) mkoani Mtwara, imesema inatarajia kuwakopesha wavuvi ili kuongeza mtaji na kuboresha shughuli zao na hatimaye kuchangia pato la taifa.

Tetemeko la ardhi latokea Rukwa na Congo

 

Tetemeko la ardhi lenye ukubwa wa  kipimo cha ritcher 4.4 na kina cha Kilomita 10 limetokea katika baadhi ya maeneo ya mkoa wa Rukwa na maeneo ya jirani usiku wa kuamkia leo Agosti 7, 2018

Kairuki Atema cheche kwa maofisa madini

 


WAZIRI wa Madini, Angellah Kairuki, amesema hatosita kumtumbua mara moja ofisa wa tume ya madini na ofisa migodi atakayethibitika kumiliki hisa kwenye kampuni za madini au kuwa na leseni ya kuchimba madini.

Watoto Wawili Wafariki Dunia Baada ya Nyumba Kuwaka Moto


Watoto wawili wa kike, mmoja wa mika miwili na mwingine wa miezi 6  wamefariki  dunia baada ya nyumba walimokuwa wamelala kuungua moto. Ajali hiyo imetokea usiku wa kuamkia leo Agosti 7 katika katika kijiji cha Rwazi kata ya Kikuku, Kagera.

Mkuu wa Mkoa Ataka Wahamiaji Haramu Wakamatwe Haraka na Kufungwa

Mkuu wa mkoa wa Kigoma Brigedia Jenerali Mstaafu Emmanuel Maganga ameiagiza Idara ya Uhamiaji kuanza msako wa kuwakamata wahamiaji haramu waliojificha kwenye mashamba na majumbani.

Matapeli 13 wa ile pesa Itume kwa Namba Hii wafikishwa Mahakamani


Watu 13 wamefikishwa mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu  wakikabiliwa na kesi ya uhujumu uchumi ikiwemo utakatishaji fedha wa Shilingi Milioni 154.

Wanachama wa CCM Monduli waandamana kumkataa Mbunge aliyetoka CHADEMA ( Julius Kalanga)


Wanachama wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Monduli wameandamana kwenye ofisi za chama hicho wakitaka aliyekuwa Mbunge wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo(CHADEMA), Julius Kalanga aliyejiunga na chama hicho kufuata utaratibu ikiwemo hatua za uteuzi wa nafasi ya kugombania ubunge.

Maandag, Augustus 06, 2018

Nanenane ya kisasa


WAZIRI wa Kilimo, Dk. Charles Tizeba amewataka waandaaji wa maonyesho ya kilimo na sherehe za wakulima Nanenane kuhakikisha kuanzia mwaka 2019 wanayaandaa katika sura mpya itakayoleta mabadiliko chanya kwa wakulima, wafugaji na wavuvi ili waweze kuzalisha kwa tija.

Mbao na mitego ya wanyama pori vya kamatwa Lindi


Na.Ahmad Mmow,Lindi.

MBAO 75  na mitego miwili  iliyokuwa inatumiwa na majangiri kutegea wanyama pori,kitongoji cha Namapwiya,Kijiji cha Mnyangala, Kata na karafa ya Mipingo,wilaya na mkoa wa Lindi,

Walimu watakiwa kufuata masharti na miongozo iliyowekwa na Serikali


Na. Thabit Madai, Zanzibar.

Walimu wa Skuli binafsi wametakiwa kuhakikisha wanafuata Masharti na miongozo iliyowekwa na serikali  ili kuimarisha  Elimu ya msingi na sekondari na kuongeza kiwango cha ufaulu nchini.