Sondag, Maart 04, 2018

Breaking News: Watano wapoteza maisha baada ya Hiace ya gongana na Basi la New Force




WATU watano wamepoteza maisha leo asubuhi baada ya basi la New Force lilikokuwa linatokea Msamvu kwenda Mikese kugongana na gari dogo la abiria (Hiace) lililokuwa linatokea Msamvu, mkoani Mogororo.  Pia watu kadhaa ambao idadi yao bado haijajulikana, wamejeruhiwa.

Mashuhuda wa ajali hiyo wanasema chanzo ni dereva wa gari hilo la Hiace kutaka kulipita gari la mchanga lililokuwa mbele ambapo lilijikuta likigongana uso kwa uso na basi hilo.
 Muungwana Blog 5  Sunday, March 04, 2018 

Chrispiny kalinga blog

Geen opmerkings nie:

Plaas 'n opmerking