Vrydag, April 27, 2018

Wema Sepetu: - Sitaki salamu ya Hamisa Mobeto

Nyota wa filamu nchini, Wema Sepetu amesema, hana bifu na Hamisa Mobetto, ila pia si rafiki yake.

Kim Jong Un afanya ziara ya kihistoria Korea Kusini

Rais Kim Jong Un atua Korea Kusini
Image captionRais Kim Jong Un atua Korea Kusini
Rais Kim Jong-Un wa Korea Kaskazini amekuwa kiongozi wa kwanza wa taifa hilo kuvuka mpaka wa kijeshi uliowekwa kuzitenganisha nchi hizo mbili baada ya vita ya mataifa hayo mawili mwaka 1953.

Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo IIjumaa ya April 27

Donderdag, April 26, 2018

BURE KABISA OFA KWAAJILI YAKO WEWE MTANZANIA



MUBASHARA BLOG

Mmiliki wa Mubashara blog anakupa furusa wewe Mtanzania kutangaza mahitaji yako  bure kabisa ndani ya blog kipenzi cha wengi inayo kuja kivingine .


Tangaza biashara zako au Kama unatafuta wafanyakazi au unatafuta kazi ,Muziki,Ndoa,Mchumba au Mke na mengineyo mengi kikubwa mtafute kwa simu 0753121916 ndani ya masaa Ishirini na nne anapatikana tuma ujumbe mfupi wa maandishi au waweza kumpigia.
 bure kabisa. 

mubashara blog +255753121916

NAFASI ZA MASOMO HIZI HAPA .....



TANGAZO

Chuo cha uandishi wa habari na utangazaji Eckros school of journalism

kinakutangazia nafasi za masomo kwa